Wenzetu wazungu mimi naamini wanatuzidi na kitu kimoja tu kinachoitwa USTAARABU!! Ukishakosa ustaarabu basi huwezi ukakamilisha sifa za kuitwa binadamu!! Siasa zisizo za kistaarabu ndizo zinazotufikisha hapa na ndizo huwa zinafikisha mataifa mengi ya Afrika kwenye...
Sina uhakika kama hili jukwaa ni la Magreat thinker kweli kwa sasa maana habari za watu kama mzee wa Kiraracha zisingekuwepo humu!! Kuna watu humu hawahitaji kujadiliwa.
Kama ni bahati basi Maghembe ana bahati ya kuzaliwa!! Ni watu wenye akili za kukopa tu labda ndo waliamini kuwa JPM angemjumuisha huyu mzee kwenye baraza lake la mawaziri. Hivi kati ya watzd zaidi ya 45M hayupo anayeweza kufanya hii position ya Maghembe??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.