Recent content by samwel boaz

  1. samwel boaz

    Lema: Kugeuza tukio la Jeshi kuwa Jukwaa la Siasa la CCM haikubaliki; tutaongea na vyombo vya habari pamoja na Nassari

    Eti jambo alilofanya ni hatari.ukiulizwa hatari yake nn , huna majibu
  2. samwel boaz

    Vincent Mashinji: Kuweni waangalifu kwani kuunda jeshi si kazi kubwa sana kama mnavyodhani

    Na ndio maana kakatazwa kutoa taarifa za hali ya lissu, katibu mzigo
  3. samwel boaz

    Ukimfumania mkeo analiwa live usimpige, muadhibu kwa namna hii atateseka mno na kujuta

    Nikiwafumania, haaaaa wote wawili watamfuata kanumba alipo
  4. samwel boaz

    Diwani wa kata ya Kimandolu ahamia CCM!

    Hivi wale wengine walirudi?
  5. samwel boaz

    CHADEMA jipimeni kwa uwezo wa kujenga hoja sio uwezo wa kuishambulia Serikali

    Na kweli ulichopost ndio walichojibu, ni matusi tu hii inatokana na wengi wao sio wafuatiliaji wa siasa bali washabiki na wenye mihemko
  6. samwel boaz

    Yericko Nyerere: Jaribio la mauaji ya Lissu si la kiserikali ni la kihalifu

    Mtu akiongea ukweli ameongwa, wapumbavu sijui wataisha lini TZ
  7. samwel boaz

    Waliotangaza kuhamia CCM arusha walikuwa wamepangwa

    Ww endelea kujipa moyo, madiwani mlisema wamenunuliwa. Nyie jidaganyeni kwenye mitandao
  8. samwel boaz

    Kwanini Maafisa wa jeshi huongezeka kila mwaka?

    Huyu kaandika asichokijua, kwa hiyo inabidi aelekezwe tu hakuna namna
  9. samwel boaz

    Acacia wakubali yaishe kwa Magufuli, makinikia kuchenjuliwa hapa hapa Tanzania

    Yule aliesema tutashindwa ndio yupo kenya au?
  10. samwel boaz

    Mkutano wa leo wa CHADEMA kwa waandishi wa habari waacha maswali mengi

    Fisadi mbn walishakimbilia chadema
  11. samwel boaz

    Mhe. Waziri Ummy Mwalimu, aibu hii utaikimbiaje?

    Post ikishatolewa na nyumbu hujue ni uongo mtupu na propaganda
  12. samwel boaz

    Uamuzi wa kujengwa ukuta kuzunguka Mererani kulinda madini ya Tanzanite ulifikiwa mwaka 2002, lakini ukawekwa kapuni

    Kumbe kazi ya jwtz ni kudhibiti silaha zinazoingia kinyemela nchini na sio jeshi la polisi, kabla ya kukoment uwe angalau unauliza usijifanye mjuaji
Back
Top Bottom