Recent content by Samung

  1. S

    Kumnunulia hawara kitanda na godoro ni njia sahihi ya kumdhibiti asiwe na bwana mwingine???

    mbona yeye ameweza kuacha mke wake na kununulia hawara kitanda si aliona hiyo ya nyumbani siyo tamu.. na yeye anatafuta tamu
  2. S

    Dates with Women from Different Countries

    Wakuu hii ya Lebanese Woman nimeipenda sana kuweni makini wa tanzania.
  3. S

    Mwenzako akinyolewa... tia maji - kisa na mkasa kwa dada yangu... Tujadili

    Atulie alee watoto wake. akitaka huyo mshamba aondoke mwenyewe. dunia ya leo nani kakuambia wanawake wanaondoka ndani ya nyumba acha mama alee watoto nenda katafute maisha mengine.
  4. S

    Mahaba yangu na house girl...

    Sijui mmelogwa!! Bwana yesu awatembelee wote wanaofanana na wewe.
  5. S

    Shemeji yangu anatembea na house girl wake

    Wadau nimeileta hii kwenu mnisaidie namna ya kumsaidia dada yangu . kama mjuavyo wengi sisi wanaume asilimia kubwa siyo waaminifu kwa wake zetu. miezi 4 iliyopita nilipata simu kutoka kwa dada yangu ambaye anaishi jijini dar na kunieleza vile mume wake anatabia ya kutembea na wasichana wa...
  6. S

    Nikaribisheni kwa mikono miwili jamani

    asanteni wakuu masharti na vigezo kuzingatiwa ondoa... nimefurahi kupokelewa
  7. S

    Mwanamke, nashidwa kumuelewa

    waume zao hawajitumi je. fanyeni sehemu yenu mke ukimtengeneza vizuri hatoki nje hata siku moja sisi ndio washenzi hata upewe style gani utataka ungungulie tu jiko la jirani. care your wife hawezi kutoka nje ya ndoa.
  8. S

    Kina dada, kwani kuolewa ni lazima?

    jamani mbona wengine wanaongea bila kufikiri hata kidogo
  9. S

    Ati Wachagga hawajui mapenzi?

    hahaahaa napita tu
  10. S

    Ati Wachagga hawajui mapenzi?

    mmh jibu sijapata nitarudi tena mkuu . lakini mimi najua wachagga wanaowajibika sana
  11. S

    Nikaribisheni kwa mikono miwili jamani

    asante kamanda nimekusoma. ushirikiano ndg yangu
  12. S

    Kidume nimetokwa na machozi mbele ya wife

    Jamani muogopeni Mungu. Mkeo akirudi utamtizama kwa jicho lipi? What is 3 weeks by then. Kaa chini piga magoti muombe Mungu akusaidie kushinda hizo hisia za shetani. Mpigie mkeo simu kila wakati kujua hali yake. Acha kufikiria habari za ngono mambo yatakwenda vizuri. Ukimwi umejaa jiadhari kaka.
  13. S

    Nikaribisheni kwa mikono miwili jamani

    asante ndugu yangu tedo
  14. S

    Tupieni kaushauri hapo ni vizuri wanandoa kuwa sehemu tofauti

    Jamani kaushauri kenu tu, wanandoa hao ninawafahamu lakini mu amekuwa mtu wa kukaa mbali na familia kwa nia ya kutafuta maisha. vitabu vya mungu vinasema nini juu ya hili? na je jamaa akicheat au mke wake nani wa kulaumiwa? utamuacha baba yako utaambatana na mume wako ndivyo vitabu...
  15. S

    Nikaribisheni kwa mikono miwili jamani

    hello gunners, mimi natokea pande za Samunge nipokeeni ndg yangu.
Back
Top Bottom