Kabla ya yote, kitakachoangusha ndoa yako ni mtazamo ulionao juu ya mwanamke akiwa na kazi. Utaanzisha fujo wewe na kumwona mke wako kwenye engo uliyokuwa nayo juu ya 'mwanamke mwenye kazi.'
Alafu mambo mengine yatafuata kuangusha ndoa yako, ukiwemo ugomvi wa mara kwa mara kutokana na wasiwasi wako.
Mnaweza kulazimisha na kuona haina shida, ila ipo shida, kusudi la kuoana ni kuja kusaidiana katika kulitimiza kusudi la Mungu. Kuwa imani tofauti tena wanandoa ni mgogoro mmojawapo... Kwenye urafiki/uchumba unaweza kuona haina shida ila kwenye ndoa ni maisha halisi na utaona rangi ambayo...
Mt 13:54-55 SUV
[54] Na alipofika nchi yake, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii? [55] Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda?
Badiliko la mtu la ndani...
Mt 12:35 SUV
[35] Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.
Kile unatumia muda mwingi kukisikiliza, kukisoma, kukiangalia, ndicho kinaenda kujaza hazina ya moyo wako.
Mtu haongei maneno ya hewani, anaongea kile alikisikia, alikiona, ama alikisoma...
Mt 4:3 SUV
[3] Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.
Yesu akiwa kwenye maombi ya siku 40 ya kufunga, alikutana na mjaribu shetani. Tukio ambalo linatupa mshangao na kushtuka kidogo, maana tulitegemea mtu akiwa kwenye maombi mazito namna hiyo...
Zek 8:15 SUV
[15] vivyo hivyo nimeazimia katika siku hizi kuutendea Yerusalemu mema, na nyumba ya Yuda pia; msiogope.
Kila mmoja anahitaji kufanyiwa jambo jema na Mungu, jambo la kuonekana kwenye maisha yake, awe na jambo la kujivunia ukuu wa Mungu.
Ikiwa Yerusalemu uliazimiwa na Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.