Recent content by Samson Ernest

  1. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Usiwakataze Watu Kutenda Mabaya Yaliyokushinda Wewe Kuyaacha

    Warumi 2 3 Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo na kutenda yayo hayo mwenyewe, je! Wadhani ya kwamba utajiepusha na hukumu ya Mungu? "Fanya nisemacho lakini usifanye nifanyalo Au fuata ninachokuambia usifuate ninavyoishi". Huu ni msemo unaotumiwa na baadhi ya watu, ni msemo...
  2. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Watakuhukumu Kutokana Na Mitazamo Ya Misingi Ya Imani Zao

    Matendo 28 3 Paulo alipokuwa amekusanya mzigo wa kuni, na kuuweka motoni, nyoka akatoka kwa ajili ya ule moto akamzongazonga mkononi. 4 Wenyeji walipomwona yule nyoka akilewalewa mkononi, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni mwuaji; ambaye ijapokuwa ameokoka katika bahari haki haimwachi kuishi...
  3. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Kufanya Mambo Yanayolipinga Jina La Yesu Kunaweza Kukupelekea Ukawa Mtumishi Wake

    Matendo 26:9 NEN [9] “Mimi pia nilikuwa nimeshawishika kwamba imenipasa kufanya yote yale yaliyowezekana kupinga Jina la Yesu wa Nazareti. Wapingaji wa uwepo wa Mungu ni wengi, wanaolikataa jina la Yesu ni wengi, wanaopinga Injili ya kweli ni wengi, wanaokataa kumwamini Yesu ni wengi. Mtume...
  4. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Amen 🙏
  5. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Amina 🙏
  6. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Huo ndio ubinadamu, pia shetani huwa hachezi mbali na sisi kupitia mawazo yetu. Hebu we fikiri Elia ameonyesha ukuu wa Mungu kwa kumtofautisha na Baali, na kupitia Yeye wale wote waliokuwa wanamwabudu Baali walikufa, lakini alitishwa na mwanamke mmoja akakimbia na akafika mahali akatamani kufa...
  7. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Amina Nakfa
  8. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Asante sana, ni kweli wakati mwingine mashaka na wasiwasi hutujia, hii ni mbinu za adui kukutoa kwenye mstari.
  9. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Matendo
  10. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Utatiwa Nguvu Ila Hutotolewa Kwenye Shida

    Mdo 23:11 SUV [11] Usiku ule Bwana akasimama karibu naye, akasema, Uwe na moyo mkuu; kwa sababu, kama ulivyonishuhudia habari zangu Yerusalemu, imekupasa kunishuhudia vivyo hivyo Rumi nako. Kuomba utoke kwenye changamoto au shida fulani unayopitia sio vibaya, ila tunapaswa kuelewa sio kila...
  11. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Jihadhari na huyu kahaba anayetembea mbele ya macho yako!

    Ubarikiwe sana
  12. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Mithali 6:32
  13. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania HUDUMA YA MAOMBI

    Maombi ni bure rafiki, huhitaji kutoa kiasi fulani uombewe.
  14. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Hezekiah alipewa taarifa ya kufa kwake siku chache zijazo ila aliikataa hiyo taarifa na kuomba Mungu, Mungu alimpa miaka mingine 15 ya uhai. 2 Wafalme 20 1 Siku hizo Hezekia akaugua, akawa katika hatari ya kufa. Isaya, nabii, mwana wa Amozi, akamjia akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeza mambo...
  15. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Amina Kimwakaleli Ubarikiwe sana 🙏
Back
Top Bottom