Recent content by Samson Ernest

  1. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Mithali 6:32
  2. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania HUDUMA YA MAOMBI

    Maombi ni bure rafiki, huhitaji kutoa kiasi fulani uombewe.
  3. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Hezekiah alipewa taarifa ya kufa kwake siku chache zijazo ila aliikataa hiyo taarifa na kuomba Mungu, Mungu alimpa miaka mingine 15 ya uhai. 2 Wafalme 20 1 Siku hizo Hezekia akaugua, akawa katika hatari ya kufa. Isaya, nabii, mwana wa Amozi, akamjia akamwambia, Bwana asema hivi, Tengeza mambo...
  4. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Amina Kimwakaleli Ubarikiwe sana 🙏
  5. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Na mhasibu asiye mwaminifu hawezi kuachwa akaendelea na hiyo tabia, lazima aondolewe.
  6. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Hilo la mhasibu ni kesi yake na Mungu haikuhusu wewe
  7. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Endelea kusoma biblia utajifunza zaidi
  8. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Sala Na Sadaka Zako Zinaweza Kumfanya Mungu Akajitokeza Kwako

    Mdo 10:4 SUV [4] Akamtazama sana, akaogopa akasema, Kuna nini, Bwana? Akamwambia, Sala zako na sadaka zako zimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu. Tunaweza kufikiri tunachokifanya kila wakati katika maisha yetu tunapoteza au hakiendi popote. Wengine tumefika mahali tumeacha kutoa sadaka...
  9. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Hukuchaguliwa Kwa Bahati Mbaya Ukae Kwenye Nafasi Uliyonayo Leo

    Kabisa, jambo la muhimu ni kupima mambo kwa neno la Mungu
  10. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Hukuchaguliwa Kwa Bahati Mbaya Ukae Kwenye Nafasi Uliyonayo Leo

    Mdo 6:3-4 SUV [3] Basi ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, walioshuhudiwa kuwa wema, wenye kujawa na Roho, na hekima, ili tuwaweke juu ya jambo hili; [4] na sisi tutadumu katika kuomba na kulihudumia lile Neno. Napenda niongee na wale ambao wamechaguliwa katika nafasi mbalimbali katika...
  11. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Usivunje Uhusiano wako na Mungu

    Yn 15:14 SUV [14] Ninyi mmekuwa rafiki zangu, mkitenda niwaamuruyo. Mtu yeyote kuwa na urafiki na mtu mwingine, lazima kuna maeneo waliona wanaendana. Urafiki wetu au ushirika wetu na watu wengine hautoki hewani, unatokana na mahusiano yetu yaliyounganishwa na jambo fulani linaloendana...
  12. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ukikipenda kitu utapambana ukipate na kibaki katika mikono yako

    Yn 14:23 SUV [23] Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake. Kila mmoja mpaka kufika umri alionao sasa, amewahi kupenda kitu katika maisha yake, hata kama kwa wengine kinaonekana ni kitu cha kawaida...
  13. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    Amina 🙏
  14. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    Kwenye hili huwezi kuweka ukomo wa kumsubiri Bwana na ukiona muda huo umepita unachukua hatua nyingine iliyo kinyume na Mungu wako. Wapo watasubiri kwa siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka na miaka.
  15. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

    Asante kushukuru
Back
Top Bottom