Recent content by Samson Ernest

  1. Samson Ernest

    Majaribu makali anayopitia mwanadamu hapa duniani. (hii dunia ina majaribu sana)

    Ushuhuda huu unasikitisha sana na kuumiza, hatupaswi kumwacha Yesu hata katika mapito yote magumu.
  2. Samson Ernest

    Uhakika Wa Usalama Wa Milele Tunaopewa Na Kristo

    Acha wapate, ila Yesu Kristo ni njia ya kweli na uzima,
  3. Samson Ernest

    Uhakika Wa Usalama Wa Milele Tunaopewa Na Kristo

    Asante, bora kulewa imani hii ndani ya Kristo.
  4. Samson Ernest

    Uhakika Wa Usalama Wa Milele Tunaopewa Na Kristo

    Mik 5:4 SUV [4] Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za BWANA, kwa enzi ya jina la BWANA, Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu hata miisho ya dunia. Kipindi nabii Mika anaandika haya, kilikuwa ni kipindi cha uharibifu na mashambulizi mengi juu ya Israeli. Unabii...
  5. Samson Ernest

    Watu wanampokea haraka yule anayewaambia uongo na kumkataa anayewaambia ukweli

    Mika 2:11 NEN [11] Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema, ‘Nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’ angekuwa ndiye nabii anayekubalika na watu hawa! Wakati watu wa Yuda wakipitia kipindi cha matatizo makubwa ya kijamii na kiroho, kipindi ambacho watu wenye nafasi za juu walitumia...
  6. Samson Ernest

    Mkumbuke Mungu siku ya tabu yako

    Yon 2:7 SUV [7] Roho yangu ilipozimia ndani yangu, Nalimkumbuka BWANA; Maombi yangu yakakuwasilia, Katika hekalu lako takatifu. Sisemi siku nyingine tukiwa katika raha tusimkumbuke Mungu wetu, ninachomaanisha hapa ni kwamba hata ile siku ya tabu yako kumbukumbu zako zisije zikafikiria kutafuta...
  7. Samson Ernest

    Yona Ni Mfano Wa Unabii Wa Kristo

    Yon 1:17 SUV [17] BWANA akaweka tayari samaki mkubwa ili ammeze Yona, naye Yona akawa ndani ya tumbo la samaki yule muda wa siku tatu, mchana na usiku. Kisa hichi cha Yona kumezwa na samaki na kukaa tumboni siku tatu ni kisa cha kusisimua sana, kisa kinachoonesha wazi kuwa huwezi kumkimbia...
  8. Samson Ernest

    Usiwakandamize Maskini Utaumia

    Amo 8:4-5 SUV [4] Lisikieni hili, ninyi mnaopenda kuwameza wahitaji, na kuwakomesha maskini wa nchi, [5] mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? Na sabato nayo, tupate kuandika ngano? Mkiipunguza efa na kuiongeza shekeli, mkidanganya watu kwa mizani ya udanganyifu; Nabii Amos...
  9. Samson Ernest

    KERO Mabasi ya Mikoani yameanza kutoza nauli zaidi ya kiwango kilichowekwa. Mamlaka husika fuatilieni

    Hili la viti kubanana sijajua ni kwanini limekuwa hivi, angalau ABC, mabasi mengine viti vimebana sana, kunyosha miguu ni tabu kubwa.
  10. Samson Ernest

    Uongozi wa kiMUNGU, unavyotuokoa

    Ukitii sauti ya Roho Mtakatifu utakula mema ya nchi
Back
Top Bottom