Recent content by Samson Ernest

  1. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Hapa nifanyaje wakuu

    Pole sana, kutokana na ujumbe wako inaonyesha uwepo wa utapeli katika hili.
  2. Samson Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Kabla ya yote, kitakachoangusha ndoa yako ni mtazamo ulionao juu ya mwanamke akiwa na kazi. Utaanzisha fujo wewe na kumwona mke wako kwenye engo uliyokuwa nayo juu ya 'mwanamke mwenye kazi.' Alafu mambo mengine yatafuata kuangusha ndoa yako, ukiwemo ugomvi wa mara kwa mara kutokana na wasiwasi wako.
  3. Samson Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mwanamke wa dini la Anglican kuoana na mwanaume wa dini la kiislamu?

    Hata nikileta hutaamini
  4. Samson Ernest

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mwanamke wa dini la Anglican kuoana na mwanaume wa dini la kiislamu?

    Mnaweza kulazimisha na kuona haina shida, ila ipo shida, kusudi la kuoana ni kuja kusaidiana katika kulitimiza kusudi la Mungu. Kuwa imani tofauti tena wanandoa ni mgogoro mmojawapo... Kwenye urafiki/uchumba unaweza kuona haina shida ila kwenye ndoa ni maisha halisi na utaona rangi ambayo...
  5. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ukianza kuishi kama Mungu anavyotaka utaanza kuwashangaza Watu wanaokujua

    Huu ni mtazamo usio sahihi
  6. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Ukianza kuishi kama Mungu anavyotaka utaanza kuwashangaza Watu wanaokujua

    Mt 13:54-55 SUV [54] Na alipofika nchi yake, akawafundisha katika sinagogi lao, hata wakashangaa, wakasema, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii? [55] Huyu si mwana wa seremala? Mamaye si yeye aitwaye Mariamu? Na nduguze si Yakobo, na Yusufu, na Simoni, na Yuda? Badiliko la mtu la ndani...
  7. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Tatizo Sio Ana Mdomo Mchafu, tatizo lipo kwenye Moyo Wake

    Mt 12:35 SUV [35] Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya. Kile unatumia muda mwingi kukisikiliza, kukisoma, kukiangalia, ndicho kinaenda kujaza hazina ya moyo wako. Mtu haongei maneno ya hewani, anaongea kile alikisikia, alikiona, ama alikisoma...
  8. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Safina ya Nuhu ni mfano bora wa ukombozi kupitia kwa Yesu Kristo

    Ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri
  9. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Mjaribu shetani hamwogopi mwombaji mzuri

    Mt 4:3 SUV [3] Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate. Yesu akiwa kwenye maombi ya siku 40 ya kufunga, alikutana na mjaribu shetani. Tukio ambalo linatupa mshangao na kushtuka kidogo, maana tulitegemea mtu akiwa kwenye maombi mazito namna hiyo...
  10. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Mungu Ameazimia Kufanya Jambo Jema Kwako

    Zek 8:15 SUV [15] vivyo hivyo nimeazimia katika siku hizi kuutendea Yerusalemu mema, na nyumba ya Yuda pia; msiogope. Kila mmoja anahitaji kufanyiwa jambo jema na Mungu, jambo la kuonekana kwenye maisha yake, awe na jambo la kujivunia ukuu wa Mungu. Ikiwa Yerusalemu uliazimiwa na Mungu...
  11. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Mambo haya Mungu atakupa ukimtegemea kwenye maisha yako

    Ujumbe mzuri sana🙏
  12. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Majaribu makali anayopitia mwanadamu hapa duniani. (hii dunia ina majaribu sana)

    Ushuhuda huu unasikitisha sana na kuumiza, hatupaswi kumwacha Yesu hata katika mapito yote magumu.
  13. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Mkumbuke Mungu siku ya tabu yako

    Amina
  14. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Madhara 4 ya kurejea kwenye moyo mgumu uliokuwa nao nyuma

    Amina rafiki🙏
Back
Top Bottom