ndugu zangu kitila ,mwaigamba hawa ni waloo wa madaraka sasa hv wanataka kuwa viongozi yaani zito kuwa mwenyekiti kitila katibu na mwegamba kuwa mhasibu.mimi ni wapongeze chadema kuwaondoa hawa jamaa mapema nimatatizo/majanga na kingine kumbe hawa jamaa ni ccm. wametumwa na ccm kuuwa upinzani...
kwa vile wewe ni mhongo' mumbea'mpenda mjungu
.napenda kukwambia kuwa kila wilaya.kila mkoa.kila mtaa tuna wagombea na wamerudisha FORMU zao jana.tusubili uchaguzi 14/12/2014
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.