Eeeeeeeeeeh, kwa kweli kuna haja ya kubadilika sasa. Inaelekea bado mbinu za kizamani zinatumika katika kuhoji watuhumiwa. Maskini hata kuthibitishwa kuwa alihusika na kuua hakujafanyioka tayari ameshakufa ! This is too much.
Mhhh, Naona na sisi tumezidi mno kuingilia maisha binafsi ya watu. Kwani mtu hawezi kuwa na vimada mpaka atumie fedha za serikali, ni nani kati yetu anaweza kuhaklikisha kuwa fedha za serikali ndizo zinazotumika kugharamia hao akina mama ? Kama Masha anatumia mshahara wake tatizo liko wapi ...
Jamani nimechunguza hizi habari za ufisadi wa PPF nikagundua kuwa hao wajumbe wanaotajwa kulipwa mamilioni sio kweli. Kwanza bodi haijamaliza muda wake wala hakuna wajumbe walioondoka. Tuangalie waleta habari wasije wakasabisha mtandao wetu ukashatakiwa na hatimaye kufungiwa.
Mhh, hakuna hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.