Watanzania ndo tunayo mamulaka ya nani tumchague awe raisi wetu wa awamu ya tano. So hakuna wakutulazimisha kumchagua lowassa au Magufuli. Ss ndo tunajua.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Lakini mbona kwenye lile tamko hawajawataja ambao walipingana na tamko? Pia tuleteeni hyo document ambayo inaonyesha saini ya pengo kukubaliana na tamko la TEC......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.