Kwa wale waalimu waliofanikiwa katika kufanya applications zao vizuri nawapongeza sana,! But nawakumbusha tu kuwa kutuma maombi ni ishu nyingine na kuchaguliwa kupewa hiyo kazi pia ni case nyingine.! Hivyo nawasihi dua na sala ziendelee maana ajira 4549 ni kiduchu sana ukilinganisha na malaki ya...
naomba msaada kwa mliofanikiwa kutengeneza accounts na kufanya applications, kunavigezo gani hasa vya kuzingatia upoingia kutuma maomba baada ya Ku create account?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.