Serikali iache kuwahadaa watumishi kulikua na haja gani kujinasibu kila siku kwenye vyombo vya habari kuwa tumeongeza mishahara ya kihistoria watu watapagawa kwa ongezeko ilo la 23.3
Mwisho wa siku mnakuja na kituko icho mfyuuuuu dadek hamna kitu huyu mama hafai kukaa pale ikulu Vinginevyo...
Usidanganyike UKIMYA NI JIBU SAHIHI USIYUMBE NDUGU mbona Uzi wako uko good Sana Ila naona unavyopitia comments unataka kusuport Tena kuongea Baki na msimamo wako
UKIMYA NI KIWANGO CHA JUU CHA BUSARA NA HEKIMA
Hata neno la Mungu linasema Ivo ktk mithali
Afu Mimi nashindwaga kuelewa ivi logic ya kuazia kutangaza muhstar akiwa mbele ya kiti akiwa amesimama then anaaza ku move kwenda kwenye kiti hii maana yake nini? watangazaj wengine wakike hawana mizigo nyuma wako flat hii haijakaa poa ata least kidogo Farhia middle ana mzigo angalau
Nimeota nafukuzwa na mwanamke nakimbia atar baadae akanikamata akanikaba akadai nimle uroda nikajitahid Sana kukataa Lakin akanilazimisha ikanibidi nipige show kishingo upande maana sikua na option
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.