Recent content by samora10

  1. samora10

    PostGE2025 Odero: Pamoja na Lissu kuwa gerezani hayawezi kumzuia John Heche kukutana, kupeana mkono na Rais Samia

    Atakayesaliti hizi harakati naye ataondoka chadema.. Haijalishi yeye ni nani, Hata Lissu na Heche wanalijua hilo! Kama ni kushikana mikono wakashikane na wale walipoteza ndugu zao kwa utekaji au mauaji ya 29 october!
  2. samora10

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) mnawambia nini waumini wenu kuhusu maandamano yaliyopangwa siku ya Christmas?

    TEC na maandamano wapi na wapi? Uzuri umesema serikali imejiandaa Acha porojo na subiri serikali ifanye kazi yake.
  3. samora10

    PreGE2025 POTOSHI Kardinali Rugambwa amemkemea vikali askofu aliyetoa tamko kinyume na msimamo wa kanisa

    Watanzania Bwana... Kwanza ni vizuri kuelewa kwamba Kardinali Rugambwa madaraka yake kikanisa yako Jimboni kwake Tabora tu! Askofu wa Lindi ana mamlaka kamili katika jimbo lake ambayo hayaingiliwi na mtu yoyote na hawajibiki kwa yoyote ila mamlaka yake ya uteuzi ambayo ni Baba Mtakatifu!
  4. samora10

    PreGE2025 Kosa kubwa la CHADEMA: wanadhani bila wao hakuna upinzani

    Wapinzani wapi unaowaongelea wewe? CHADEMA wamekataa mauwaji, uchafuzi na hila za kitoto zinazotawala chaguzi zetu, Tangu enzi za kina Alphonce Mawazo etc.. Kauaneni na hao CCM B! JK aliondoka na Demokrasia nchi hii... at least enzi zake kulikua na aibu kidogo, CCM ya leo Hata kushindana...
  5. samora10

    Howo Truck used pamoja na spare parts zote za Howo

    Used hapa bongo au China?
  6. samora10

    Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Ni bora uamini mungu yupo na uishi atakavyo kuliko kutokuamini then ukute yupo! just saying....
  7. samora10

    Pep Guardiola aachana na mkewe baada ya miaka zaidi ya 30 kuwa pamoja

    Harafu ✖️ Halafu ✔️
  8. samora10

    Mkurugenzi mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa amegoma kuja JF atufafanulie uhalali wa makatazo wanayofanyiwa wasafiri wa SGR

    Ukiona masharti ni mengi kuna Shabibby, Kimbinyiko, BM etc etc tena kwa bei rahisi.
  9. samora10

    Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

    It's a strategy ya kuongeza fan base.. Kwa msanii hiyo ni plus!
  10. samora10

    Nayaona mabadiliko Baraza la Mawaziri

    Mabadiliko ya baraza bila watu kufikishwa kwenye vyombo vya haki kujibu jinai zao ni kazi bure... mabadiliko yafanyike na waziri anayebadilishwa atuambie wasiojulikana ni nani na wanafanya hayo wanayofanya kwa faida ya nani!
  11. samora10

    KERO Masikitiko yangu Kilwa road na Chang'ombe road inakwenda kuwa na foleni kubwa sana

    Ni chaos, mkuu.. halafu hizi barabara za mwendo kasi vituo kila vaada ya mita 200! enzi hizi za magonjwa ya NCDs na watu wavivu wavivu mnaweka vituo kila baada ya mita 100 au 200? vituo viwekwe sehemu za muhimu tu ili watu watembee wafanye mazoezi, Barabara zitengenezwe vizuri na zijumuishe...
  12. samora10

    Mwakani hatutasikia kelele za kambi Tunisia wala Uturuki

    Ushamba tu unawasumbua utopolo... Preseason ina malengo mengi kubwa likiwa team kujiandaa na msimu mpya ila mengineyo yanajumuisha kubadilisha hali ya hewa, relaxation ya wachezaji na benchi la ufundi. Kiufupi ni aina nyingine ya Holiday kwa wachezaji na benchi la ufundi... Endeleeni kujifungia...
Back
Top Bottom