Kijana amemaliza form four na pass za Phy C, Biology B, Chem A, na Maths Chaguo la kwanza aliomba Pharmacy, Chaguo la pili aliomba vyuo vya ufundi.
Sasa amepangiwa kwenda Advance PCM. Imekaaje hii wakuu ukizingatia hakupenda kwenda Advance kabisa.
Pia soma:
~ TAMISEMI wafafanua kinachopelekea...
Kumbuka maneno yako, be careful with your words. Natambua wewe ni mtoto wa miaka ya hivi karibuni maana hakuna taifa lililowahi kusifiwa kama ni kiboko wa USA kama Iraq.
Wewe yaonyesha utachukua muda mwingi sana kukamilisha PhD tena nimeona watu wengi wanakupoteza zaidi, kifupi wote mnapotezana. Kabla ya kufikiria kusoma PhD fikikia genuine problem you plan to figure out/fix ( the gap u plan to fill.
Mama Samia ndani ya muda mfupi amefanya mambo mengi sana. Barabara, umeme wa rufiji, treni ya umeme, mikopo isiyo na riba kwa wananchi, ameunganisha taifa na kuongeza furaha Kwa wananchi. Mengi mazuri yanakuja endapo tutampa muda zaifi. Hakika mama anastahili. Mwaka 2025 kura zote kwa Samia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.