Baada ya hizi Ramli na utabiri mnanufaika nini😁😁 Kila jambo mnatabiri na halitokei mnasahau utabiri wa mwanzo mnatabiri kingine tena hadi mnazeeka kichwa kimechoka kwa ramli zisizo na uhalisia au motokeo
Sijawahi kutana na panya wanadharau kama hawa pia wananuka balaa na paka naye hataki hata kuwala
Naiomba serikali iingilie kati huu mzozo hapa DAR mana ni kero kubwa sana .
Sijawahi kutana na uzi wa kishetani kama huu, ambao umeandikwa na katili na mwenye roho chafu na bado anatetea unyama wake bila kutumia akili au macho aliyonayo zaidi ya ujuaji
Kila nchi ina utaratibu wake wakujiendesha na namna ya kulinda raia wake kimaisha au vyovyote hivyo umetoa mifano lakini ni mifano ambayo asilimia kubwa haina mashiko kwakuwa baadhi ya nchi hapo zina sheria za kuwalinda wazawa labda kenya haina sheria hizo
Na huo ndio UZALENDO watanzania kwanza...
Tatizo huwa ni nini hasa kwa wafuasi wa CDM kwamba ukiwauliza swali ili ujifunze unapewa matusi
Ukienda kinyume na maono yao unashambuliwa
NB mimi sio mfuasi wa chama chochote mimi ni mtu huru😅
Nimelima na kupanda miparachichi heka 14 mwaka ndio zimezaa lakini ninapata wasiwasi mana ni vinekuwa vidogo sana kiasi kwamba nahisi haviwezi ingia sokoni, je wataalamu ndio huwa hivi kwa mara ya kwanza?
Samahani mkuu we ni wa kike? Inakuwaje unatoka machozi kizembe au yanatoka kama mkojo? Familia yako inajua kwamba ina mtu anamlilia mwanasiasa anayepigania tumbo lake na familia yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.