Recent content by Samburu

  1. S

    Askari watatu wa vyeo vya juu kutoka mkoa wa kipolisi Rufiji wamefariki baada ya gari yao Aina ya Landcruzer kupasuka tairi

    Mungu tusamehe ...taifa limeingiwa na watu kuwa na chuki kiasi hiki ... Watu wanashangilia wezao kufa ..Mungu wa rehema wape pumziko la Amani marehemu wote wa ajali...hakuna aijuaye kesho yake tuweke akiba ya maneno.
  2. S

    Waaumini wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Arusha tunaodaiwa hela ya corridor

    Mtoa mada.hapa.si maali.pa.kulalamika kuhusu hela ya hizo.unazosema unadaiwa viongozi wetu wametoa.elimu.nyingi sana juu ya hili jambo na wahumini wengi walielewa vizuri wakachanga pesa na sharika nyingi.wamemaliza uwiano.wao siku.nyingi.sana....na.pia.ufahamu tu kuwa si lazima kutoa kama moyo...
  3. S

    Serikali (NIDA) imefeli vibaya mno suala la vitambulisho vya taifa; kusubiri zaidi ya mwaka, vitambulisho vinapotea haviwafikii walengwa!

    Mimi nimetuma mara mbili.hata.ujumbe wowote sipati wanakula hela bure za sms ni usumbifu sana.huu bora waaingetangaza kabisa.
  4. S

    Nini tatizo la RC Mrisho Gambo na wasaidizi wake?

    RC Gambo mara nyingi amekuwa anatabasamu sana hata ukimkorofisha ,sasa pale DC kaonyesha nidhamu mbaya au dharau kwa mwenzake na RC kawa mpole sasa credit c kapata RC .hongera Gambo
  5. S

    Manyara: Msafara wa Waziri Kigwangalla wapata ajali. Waziri ajeruhiwa na Mmoja afariki dunia

    Mungu awaponye haraka majerui...hii speed kama gari la samaki kwa viongozi litazamwe upya najiulizaga mbio zote akikatiza punda kihongwe c patachimbika bila sururu
  6. S

    Kangi Lugola ampa IGP muda wa hadi saa 12 jioni ya leo kutoa maelezo alipo Mbwa wa Polisi Kikosi cha Bandari

    Namwonea huruma sana Kamanda Sirro ,pole kamanda wetu .
  7. S

    Arusha hakuna ukarimu kwa wateja

    Mtoa Uzi amenigusa kweli kweli nimekaa sana mikoa ya Tanzania na jirani zetu K ,kweli hapa Arusha mteja hana thamani kabisa unaenda hotel I ya kawaida kabisa muhudumu anakuja amekunja uso na hana ukarimu wowote ukitaka kulipa mpaka upige miluzi kumwita muhudu ili ulipe bill yako .hawana menu...
  8. S

    Rais kuambatana na CDF, CJ , IGP , DG-TISS na wakuu kila tukio kunadumaza kazi zao

    Kumfata kama mkia....!! Mna mambo kweli kiswahili kizuri sana
  9. S

    Mifuko ya jamii nchini inakera sana

    Huu ni uonevu wa wazi kabisa mfano Nssf Arusha wankupa Mafao tu endapo utakuja na barua ya kufukuzwa kazi au mkataba wa ajira yako umekoma.kwa wale ambao wameacha kazi wenyewe wanadai kuna maagizo yametolewa kuwa wasipewe form za kudai mafao yao au uandike barua ya kujieleza kwann umeacha kazi...
  10. S

    Sisi wanaCCM tumeumizwa sana na uteuzi wa Juliana Shonza

    Mdada piga kazi akuna ambaye angekataa hiyo nafasi angepewa kila mtu anayo njaa bwana.
  11. S

    Wanamwanga tumefurahi sana Prof Magembe kutemwa nafasi ya Uwaziri.Alikuwa anajidai sana

    Uyu Mzee alitutoa kwenye utalii wenye vigari vyetu vya kudunduliza Mungu amesikia kilio chetu wanyonge, pole sana professa wetu aliyekuteua ndo aliyekutumbua vumilia tu baba watumikie wana Mwaga ,na wote tunayo TALA tunapiga Nazi bado.
  12. S

    Mkoa wa Arusha unadhalilisha serikali yetu

    Karibu Ngalimi nguzo mbili
  13. S

    Masaki, Dar: Adam Malima atishiwa kwa Bunduki, Risasi zarindima kama Njugu

    Hamorapa hakuwepo eneo la tukio?
  14. S

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Mungu azilaze pema roho za Askari wetu , hata kama tunatofauti zetu za kisiasa hili ni jambo la kulaani kbisa kwa nchi yetu kumwaga Damu za watu wasio na hatia, c Askari wote ni wabaya wapo wanaofanya kazi zao kwa weledi mkubwa kabis ila bahati mbaya nature ya kzi Yao wengi wa nawaona wanoko...
Back
Top Bottom