Recent content by sambogo

  1. S

    Kichefuchefu cha TBC bungeni Dodoma

    Hapo tatizo either ni udhaifu wa Mitambo na viongozi wake au la kubwa zaidi bajeti waliopitishiwa mwaka jana haijawafikia kuanza kurekebisha mambo yao, au la fedha ilipitishwa tu kule kwamba tunaenda kununua mitambo mpya ili bunge liwaidhinishie lakini ukweli ni Per Diems za vikao vya wanaTBC,na...
  2. S

    Kwa Wana Mtwara: RAIS AMEWADHARAU MNOOOO

    Nafikiri wewe ndo umeshindwa kuitafuta point,the issue is kwa nini ameshindwa kwenda Mtwara kulikoua watu,kulikoharibu fahamu za watu akaona rahirahisi tu na kukimbilia kigoma the truth is ni dhaifu wa hoja hajui angejibu nini always matatizo anakimbia na anakimbilia starehe yaani.........but...
  3. S

    Moto mkubwa unawaka maeneo ya Mwenge kwenye Stendi ya Mabasi

    Baba tusaidie hizi ni kafara jamani tunakwisha sie asubuhi nimesikia jengo la PPF,mara Mwenge Mungu tusaidie jamani,
  4. S

    Kweli Ndugai umelewa madaraka

    Dr si unajua athari za kutegemea akili za waganga wa lienyeji ni kama kuwa na kijeti kwenye chumba cha mtihani,hua akili inalala nasikitika sana viongozi wa Tz kuendelea kudanganya na waganga wa kienyeji hawana akili walizoumbiwa tena,na tafadhali fatilia hata masuala yao nyumbani lazima...
  5. S

    Leo ni mali na nyumba za wabunge, kesho itakuwa Ikulu...

    Kwanza niwe muwazi nalipenda jina lako sana ila sijajua ni TGS,TGOS au ni ile mingine nisiyoijua,ya wabunge,na ngazi nyingine maana Tz bwana ina majina mengi ya mishahara kwa watu wake halafu wanasema binadamu wote sawa....how..... Kwa habari ya kuchoma nyumba hii ni na bado binafsi nimeipenda...
  6. S

    Leo ni mali na nyumba za wabunge, kesho itakuwa Ikulu...

    Kwanza niwe muwazi nalipenda jina lako sana ila sijajua ni TGS,TGOS au ni ile mingine nisiyoijua,ya wabunge,na ngazi nyingine maana Tz bwana ina majina mengi ya mishahara kwa watu wake halafu wanasema binadamu wote sawa....how..... Kwa habari ya kuchoma nyumba hii ni na bado binafsi nimeipenda...
  7. S

    Dr. Slaa alipua bomu, Mnyika awatolea uvivu Nape na Mwigulu

    Kazi ipo kwakweli watz tunamuhitaji Mungu zaidi,najua watu watafikiri ni mvivu lakini lazima tukubali kuwa tunahitaji ukombozi wa akili ambao ni Mungu pekee anaeweza kufanya.Binafsi nawaombea sana wanasiasa wawe na hofu ya Mungu ili wafanikishe safari yao na ya watz.
  8. S

    Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mbarali ni amejaa matusi

    Watumishi wa umma wengi wanahitaji maombi ya kufunguliwa ufahamu,si mbarali tu sehemu nyingi hawajui wanalofanya wananidhamu za uoga na unafiki kitu ambacho hata Mungu hapendi,amesema watiini wenye mamraka lakini sio muwaogope,halafu ukitoka pembeni unaanza kuteta Mungu hapendi tubadilike,na...
  9. S

    Thanks Channel Ten,thanks Jenerali on Monday, Kusini na Tanzania inatambua mchango wenu.

    Mkuu umemsahau David Kafulila. The guy is against Mbatia and company. By the way Jenerali kamchana Kikwete kwa kudanganya eti 80% ya mapato ya nchi yanatoka Dar! Kamchana na waziri wa nishati na madini kwa kukosa political management ...............kwa ujumla hua sipendi kuidhurumu nafsi...
  10. S

    Hivi hata Rais Kikwete hawaelewi watu wa mtwara wanataka nini

    Kwani hujajua lengo lao siku zote ni kutaka kuchonganisha watu,ndio wanaosambaza sera za ukabila na sasa wanataka watz tuwachukie wanamtwara na wala hawataweza,wao wanapaswa watafakari tumefikaje hapa,kuna nini na tufanyeje.wameachiwa mali nyingi sana lakini watz tumekuwa tukimlilia Mungu...
  11. S

    John Mnyika: Sera ya Majimbo ya CHADEMA siri ya Maendeleo

    Nakuunga mkono mdawa,huo ndio ukweli,tatizo la watanzania ni udumavu wa ubongo,unajua lishe inasemaje,udumavu ni tatizo kubwa sana sana na linaanza ndani ya siku 2000 tangu kutungwa kwa mimba hadi miaka miwili akishazaliwa,lakini unjua athari zake,mtoto huyo akizaliwa na udumavu anaendelea nao...
  12. S

    John Mnyika: Sera ya Majimbo ya CHADEMA siri ya Maendeleo

    Na wasiwasi na mtazamo wako,ulitaka afanyaje,na nadhani humfahamu John na au umeanza kufahamu mambo hivi sasa hivi nisikuhukumu,lakini pia wewe ulitaka afanyaje mahali panapoenda sawa utarekebisha nini mara nyingi mtu hurekebisha ambapo hapa shida.
  13. S

    Mbowe: Sikumtangaza Dr. Slaa mgombea urais 2015

    Mhe Mbowe kumbukeni mnayotamka yanaenda kutendeka sababu mwanadamu anauungu ndani yake,jamani ndio yenu na iwe ndio na hapana yenu na iwe hapana,mkiangalia sana kwamba mnafanya kwa ajili ya watu aliowaumba Mungu na wala si nyie hivyo hatutegemei sana utashi wenu tunatamani muwe mnamshirikisha...
  14. S

    Pendekezo: Mhe John Mnyika (Mb) Ubungo, Gombea nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA TAIFA uchaguzi ujao

    Kaka ukweli ni kuwa sio ushauri wake wote haufai,na haijalishi anaongea akiwa na maana gani kwa kuwa wote hamjui dhamira yake tusimuhukumu ni mtazamo wake na hata kama alikua akiongea kwa masihara lakini anatumia viungo vya Mungu vinavyobariki na kulaani ,kama baraka tuseme Amen,na kama ni laana...
  15. S

    Kati ya Dr. Slaa, Zitto, Freeman Mbowe, Shibuda ni nani tumlaumu kwakutaka kudhoofisha CHAMA??

    mi nafikiri tulipofika sasa hebu tujaribu kutafakari na kuona kwamba tumekuwa tukifanya mambo kwa akili zetu siku nyingi tukimaliza tunaanza kujuta tungejua kumbe yuko hivi ni kilio na kusaga meno,hebu sasa tumaanishe anaemjua kiongozi wa kweli tz ni Mungu pekee,hebu na tumuombe Mungu tupate...
Back
Top Bottom