Chief Executive Officer kutoka nchi "X" ambaye ni shoga.Ameingia nchini Tanzania kwa lengo la kuja kuangalia wanafunzi yatima ambao wanasomeshwa na NGO anayoiongoza yeye mwenyewe kama CEO.Mara anaanza kuonyesha tabia yake ya ushoga akiolewa na mtanzania.Jamii ya watanzania tumelijua hilo ila...
Jamani mfa maji haachi kutapatapa.Kagame anajichimbia kaburi la kujizika yeye mwenyewe.Na sidhani endapo wananchi wake watakubaliana na kupanda kwa maisha nchini mwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.