Recent content by sam28

  1. S

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kuna watu wanaleta ushabiki mandazi kwenye hoja za msingi dr slaa na wanalumumba walishajibiwa kuwa kma wana ushaidi waende mahakamani gwajima anachofanya nw nikujibu mapigo cz dr mihogo alimshambulia personall.
  2. S

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kuna watu wanaleta ushabiki mandazi dr slaa na wanalumumba walishajibiwa kma wana ushaid wapeleke mahakamani hawani washut up!anachofanya gwajima nikujibu shutuma za dr mihogo
  3. S

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kuna watu wanaleta ushabiki mandazi kwenye hoja za msingi dr slaa na wanalumumba walishajibiwa kuwa kma wana ushaidi waende mahakamani gwajima anachofanya nw nikujibu mapigo cz dr mihogo alimshambulia personall.
  4. S

    Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!

    Ninachokiona hpa ni watu kuweka ushabiki wa simba na yanga bila kuangalia facts tz huwa tunachagua mtu na sio chama hivyo mwaka huu hamna mgombea anayeweza kujipima ubavu na lowasa co magufuli wala slaa hivyo wakati wa ukawa kwenda magogoni ndo huu nawasipopata mwaka huu watasubiri baada ya...
  5. S

    Habari ya Clouds TV mmenunuliwa na CCM?

    Thanks for observation!
  6. S

    Chanel Ten Vipi na Habari ya Lowassa?

    Hta clouds wamesoma kinafiki habari ya lowasa na yule mtangazaji wao chizi!
  7. S

    Madiwani wote ishirini Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

    Acha kujitoa ufahamu milioni 6 utalinganisha na milioni 20 wanamkubali el kazi mnayo hii nchi co ya wakwere mpaka watuamulie kila kitu!
  8. S

    Membe uliaga, iweje unarudi tena jimboni?

    Braza alishamuhakikishia uraisi ndo mana cku yakutangaza nia alikua anashambulia ukawa as if kashapitishwa sasa akalime mananasi msoga na kaka yke!
  9. S

    Lipumba usiwe na ubinafsi kama Lowassa

    Sio lipumba tu hta dr slaa nae inabidi akae pembeni cz hauziki kwa wananchi wote walishagombea na wakakosa tunahitaji sura mpya ukawa
Back
Top Bottom