Recent content by sam2000

  1. sam2000

    China na kuzindua ndege yake C919 lakini vitu vyote vinatoka kwa wababe wake

    Jamaa kambilia tu kupost bila kutumia ubongo kidogo tu kufikiri. Hii dunia hakuna nchi hata moja ambayo vifaa vyote ni vyao. Fungua tu hata karedio kidogo uone OEMs walivyojaa humo. Uskute jamaa ana Iphone kabisa lakini check hii, amemuona USA hapo?
  2. sam2000

    China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

    Watu wanamchukulia mchina poa sababu ya hivyo vitu feki Africa[emoji23][emoji23]
  3. sam2000

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Ni kweli mkuu lakini kuanzia matolea mapya 2020 na kuendelea nadhani walibadili now wanakupa lifetime warrant kwa ajili ya kutu. Dawa ya hizi gari usikae nayo zaidi ya miaka 6 au kupitisha ile warrant yao ya 80,000km. Uzuri wa kwa Biden unatrade-in unavyotaka. Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu...
  4. sam2000

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Mkuu Naona unawapiga ‘nondo’ hasa wanabadili gia bila kupenda[emoji3]
  5. sam2000

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Umeona mkuu. Yani it’s so sad. Mwingine kataja mpaka Nollywood[emoji1787]
  6. sam2000

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Mkuu Naona unahamisha ‘goal post’ Sasa[emoji3] Issue ilikuwa mmoja kamtawala mwenzie kwa hivyo mtawaliwa GPD lazima iwe chini kuliko aliyemtawala lakini kwa Marekani siyo hivyo.
  7. sam2000

    Nimesikitika baada ya kuona Nigeria ina GDP karibu mara tano ya Tanzania

    Vipi USA aliyetawaliwa na Mwingereza na GPD ya Califonia tu ni kubwa kuliko Mwingereza?
  8. sam2000

    Hii video inayosambaa mtandaoni kuhusu ufisadi unaofanywa na viongozi wetu, Watanzania tuamke sasa

    Mkuu hazina hawatunzi hela. Kuna jamaa yangu huko ndani kabisa mmojawapo wa watu wanaopanga budget. Kwani huwa huskii wakisema BoT ina kiasi fulani cha hela ya Biden kwa matumizi miezi kadhaa . Tafuta video JPM anainigia mara ya kwanza na kutinga BoT uskie.
  9. sam2000

    Ushauri na Msaada wa kwenda masomoni Marekani

    F1 hurusiwi kufanya kazi isipokuwa ndani ya chuo husika tu. Ningekushauri usome elimu, mahitaji yao ni makubwa sana na ukimaliza unachagua kwenda maenea ambayo wana upungufu wa walimu. Partial scholarship wengi hupewa ila ukifika unakomaa balaa hapohapo chuoni huwezi kosa scholarship za kujazia...
  10. sam2000

    Dar Mpya Media: Hatutaomba radhi habari ya Patrobas Katambi

    Wabongo noma. Yani mpaka video yake mmepata:D:D
  11. sam2000

    Tanzania tunakwama wapi? Inakuaje tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwenye Miundombinu bora ya Barabara?

    Matuta ni TZ tu :D . Matuta highway wapi na wapi. Yani hawa viongozi sijui hawatembei nje na kuona jinsi wenzetu wanavyofanya. Sijawahi kuelewa why unaweka speed limit ya 80km/hr highway. Hii speed limit ni ndani ya airport hapo Texas George Bush Interntional!
  12. sam2000

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Ipo sana mkuu jana tu nimeitumia
  13. sam2000

    Siku hizi Marekani/Hollywood ina idadi kubwa sana ya movie mbaya

    Very tough to follow na sijui wanampa nani next hawa watu wa Malkia :D . I hope hawataharibu hii 007.
  14. sam2000

    Siku hizi Marekani/Hollywood ina idadi kubwa sana ya movie mbaya

    'No Time To Die' is great mkuu. They gave him (Craig) a perfect send-off!
  15. sam2000

    Bongo tukitaka maendeleo kweli, tumkodi mzungu mmoja atuongoze kwa miaka kumi kisha aondoke

    Mkuu umemaliza kila kitu kwanza hapo kwenye taasisi zenye nguvu. Watu wengi hawajui bila taasisi zenye nguvu, Trump alikuwa hatoki jumba leupe. Hizo nchi hata raisi awe mbove kiasi gani, kodi iko palepale mfano mzuri in IRS ya Marekani kila mtu lazima alipe kodi na on-time
Back
Top Bottom