Recent content by sam2000

  1. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Ni kweli lakini ndio hivyo hii dunia ya leo kupata vyote ni Kama vijana wanavyobet kwa Patel, kuna kupata na kukosa pia😁
  2. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    In short, kula raha hayo mengine tutajibu mbele ya Sir God😂
  3. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Wengi sana sema ndio ile huwa hawasemi wanaogopa wataonwa vipi, wewe umewahi kutana na kidume yoyote akasema yeye bikra hata kama ni kweli, never. Mwanaume lazima ajisifie hata kama 'girlfriend' yake ni 'sabuni na mkono' 🤣🤣. Unaogopa anao wangapi, rais tu mwenyewe hapo alikuta team tayari...
  4. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Ukianza kufikiria aliopita nao mkuu mbona utakufa peke yako😂. Kama mtu sio bikra, acha kabisa mawazo amepita na wangapi.
  5. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Mkuu wewe sasa unacomplicate maisha bure. Acha nikupe simple trick, hakikisha mnaenda sehemu ambayo in hadhi sanasana maji yapo. Akifika kabla ya chochote mwambie unataka kumfanyia massage lakini lazima uondoe mafuta aliyojipaka ndio oil massage 'aiskie vizuri' halafu mwambie unaenda kumuosha...
  6. sam2000

    Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Mkuu ukianza kufikiria usafi na mapenzi utakuwa na wakati mgumu sana😂. Watu hujitoa mhanga tu kwa kwenda mbele🤣
  7. sam2000

    Kuendelea kwa Wachina

    Smart911 hebu mfanyie tafsiri shemeji😂
  8. sam2000

    Kuendelea kwa Wachina

    Kweli kabisa mkuu. Lakini kiongozi kama jiwe sidhani tutampata tena, hawa jamaa wamejipanga hawatakubali labda mmoja wao awageuke
  9. sam2000

    Kuendelea kwa Wachina

    Ndugu zetu walio serikalini, jifunzeni kutoka kwa 'rafiki' zenu wachina. Kutoka kwa Howard Yu LinkedIn Two months ago, China opened a bridge so high you could stack two Eiffel Towers beneath it and still have room. At its peak, there's a glass-walled café where you can drink coffee while...
  10. sam2000

    Misri meli zinajaa kwenye foleni kupakia Gesi, Msumbiji wanaanza mradi wa LNG, Tanzania wanasubiri nani anatoa kushwa kubwa wampe mradi

    Na wasipofanya kipindi hiki cha Trump wasahau kabisa, Msumbiji nadhani ni Trump aliOK $4B kweye huo mradi. Kuwategemea wachina watachelewa sababu Russia anaongeza bomba kwenda huko sasa ni kutegemea tu Europe ambao mambo ya 'new energy' huko yamepamba moto.
  11. sam2000

    Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% ?

    Wanafanya makusdi mkuu, kuna weusi kibao nje wanafanya mambo makubwa.
  12. sam2000

    Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% ?

    Nadhani wanafanya makusdi kabisa, wametembea nchi karibia zote na kuona vile mambo yanaenda. Nchi ina kila kitu lakini basics needs kusambaza kote tumeshindwa kabisa, inauma sana
  13. sam2000

    Kama jambo dogo tu kusimamia Mwendokasi tumeshidwa ni kitu gani tunaweza kufanya kwa 100% ?

    Kumbuka hawa jamaa pia ni monopoly, unashindwaje biashara na upo peke yako na wateja kibao? Halafu unashangaa oh tumepata mwekezaji
  14. sam2000

    MSAADA - ambaye ameshadeal na kuachwa na ndege / “no show” na Turkish airlines anisaidie

    Hapo sawa kama hawana agent. Na wewe upgrade your sister aachane na hao Turkish wachovu😃. Nilisafiri nao one time never again labda kama sina options kabisa na ni emergency. Halafu kama anaishi nje atafute credit cards za maana, huna wasiwasi wa kuachwa, mizigo kupotea, cancellation, etc kila...
Back
Top Bottom