Recent content by sam2000

  1. sam2000

    JamiiForums Tanzania I am All In..! Liwalo na liwe, nimewekeza Tshs 70m leo na kununua hisa za NMB soko la hisa la Dar es salaam, let's see

    Safi sana mkuu. Kuna jamaa alinipa somo kama unataka kuweka million 100, usiweke yote pamoja. Igawanye kwenye mafungu mfano kama 10. Halafu kila mwezi unatupia hiyo. Kuna batches zitakuokoa na kushuka. Nilijaribu mwaka jana na ni kweli kabisa mwisho wa mwaka nilikuwa on positive end.
  2. sam2000

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Safi sana. Acha nimwambie afatalie. Niwapeleke yeye na rafiki yake wamalize waanzishe sehemu yao.
  3. sam2000

    JamiiForums Tanzania Kwa Tabia hizi za kuacha kazi nina matatizo au?

    Mkuu hawa jamaa bei zao zimefika wapi? Nataka kumpeleka dogo akasomee kutengeneza toyo
  4. sam2000

    JamiiForums Tanzania Elon Musk: China inavutia sana. Ninawahimiza sana watu kutembelea huko

    Nilitaka pia kumuuliza China wapo na some of the most advanced mines huko kwao kwa hiyo wanatumia hizi pump za mzungu?
  5. sam2000

    JamiiForums Tanzania Traore wa Burkina Faso Asaini Kitita Cha Msaada wa Afya kutoka Kwa Beberu USA ambacho Kimekataliwa na Nchi Zingine kutokana na Masharti ya Kitumwa

    Labda jamaa 'anajiprotect' pia kutoka France kwa kukimbilia kwa Trump😂
  6. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Ni kweli lakini ndio hivyo hii dunia ya leo kupata vyote ni Kama vijana wanavyobet kwa Patel, kuna kupata na kukosa pia😁
  7. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    In short, kula raha hayo mengine tutajibu mbele ya Sir God😂
  8. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Wengi sana sema ndio ile huwa hawasemi wanaogopa wataonwa vipi, wewe umewahi kutana na kidume yoyote akasema yeye bikra hata kama ni kweli, never. Mwanaume lazima ajisifie hata kama 'girlfriend' yake ni 'sabuni na mkono' 🤣🤣. Unaogopa anao wangapi, rais tu mwenyewe hapo alikuta team tayari...
  9. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Ukianza kufikiria aliopita nao mkuu mbona utakufa peke yako😂. Kama mtu sio bikra, acha kabisa mawazo amepita na wangapi.
  10. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Mkuu wewe sasa unacomplicate maisha bure. Acha nikupe simple trick, hakikisha mnaenda sehemu ambayo in hadhi sanasana maji yapo. Akifika kabla ya chochote mwambie unataka kumfanyia massage lakini lazima uondoe mafuta aliyojipaka ndio oil massage 'aiskie vizuri' halafu mwambie unaenda kumuosha...
  11. sam2000

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Valentine❤️, kunyonywa na kunyonya

    Mkuu ukianza kufikiria usafi na mapenzi utakuwa na wakati mgumu sana😂. Watu hujitoa mhanga tu kwa kwenda mbele🤣
  12. sam2000

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kwa Wachina

    Smart911 hebu mfanyie tafsiri shemeji😂
  13. sam2000

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kwa Wachina

    Kweli kabisa mkuu. Lakini kiongozi kama jiwe sidhani tutampata tena, hawa jamaa wamejipanga hawatakubali labda mmoja wao awageuke
  14. sam2000

    JamiiForums Tanzania Kuendelea kwa Wachina

    Ndugu zetu walio serikalini, jifunzeni kutoka kwa 'rafiki' zenu wachina. Kutoka kwa Howard Yu LinkedIn Two months ago, China opened a bridge so high you could stack two Eiffel Towers beneath it and still have room. At its peak, there's a glass-walled café where you can drink coffee while...
  15. sam2000

    JamiiForums Tanzania Misri meli zinajaa kwenye foleni kupakia Gesi, Msumbiji wanaanza mradi wa LNG, Tanzania wanasubiri nani anatoa kushwa kubwa wampe mradi

    Na wasipofanya kipindi hiki cha Trump wasahau kabisa, Msumbiji nadhani ni Trump aliOK $4B kweye huo mradi. Kuwategemea wachina watachelewa sababu Russia anaongeza bomba kwenda huko sasa ni kutegemea tu Europe ambao mambo ya 'new energy' huko yamepamba moto.
Back
Top Bottom