Wengi sana sema ndio ile huwa hawasemi wanaogopa wataonwa vipi, wewe umewahi kutana na kidume yoyote akasema yeye bikra hata kama ni kweli, never. Mwanaume lazima ajisifie hata kama 'girlfriend' yake ni 'sabuni na mkono' 🤣🤣.
Unaogopa anao wangapi, rais tu mwenyewe hapo alikuta team tayari...
Mkuu wewe sasa unacomplicate maisha bure. Acha nikupe simple trick, hakikisha mnaenda sehemu ambayo in hadhi sanasana maji yapo. Akifika kabla ya chochote mwambie unataka kumfanyia massage lakini lazima uondoe mafuta aliyojipaka ndio oil massage 'aiskie vizuri' halafu mwambie unaenda kumuosha...
Ndugu zetu walio serikalini, jifunzeni kutoka kwa 'rafiki' zenu wachina. Kutoka kwa Howard Yu LinkedIn
Two months ago, China opened a bridge so high you could stack two Eiffel Towers beneath it and still have room. At its peak, there's a glass-walled café where you can drink coffee while...
Na wasipofanya kipindi hiki cha Trump wasahau kabisa, Msumbiji nadhani ni Trump aliOK $4B kweye huo mradi. Kuwategemea wachina watachelewa sababu Russia anaongeza bomba kwenda huko sasa ni kutegemea tu Europe ambao mambo ya 'new energy' huko yamepamba moto.
Nadhani wanafanya makusdi kabisa, wametembea nchi karibia zote na kuona vile mambo yanaenda. Nchi ina kila kitu lakini basics needs kusambaza kote tumeshindwa kabisa, inauma sana
Hapo sawa kama hawana agent. Na wewe upgrade your sister aachane na hao Turkish wachovu😃. Nilisafiri nao one time never again labda kama sina options kabisa na ni emergency.
Halafu kama anaishi nje atafute credit cards za maana, huna wasiwasi wa kuachwa, mizigo kupotea, cancellation, etc kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.