Siku ya tarehe 17.7.2021 nilitoa pesa kimakosa kwa kukosea namba ya wakala.
Nikapiga simu wakasema wanashughulikia irudi. Nisubri masaa 72. Baada ya masaa hayo message ikaingia kwamba pesa imerudishwa kwa wakala.
Sasa baada ya hapo nimeendelea kupiga simu majibu yanayotoka ni
1. Kusubiri...
Habarini wa JF? Natumaini hamjambo.
Najitokeza kwenu leo katika jukwaa hili nikiwa na uhitaji wa mwanamke atakae kuwa tayari kuingia nae kwenye ndoa.Nina umri wa miaka 27 kwa sasa na mtoto mmoja. Sijaoa bado. Naendelea na harakati za kupambana na maisha. Maisha yangu ni ya chini kabisa bado kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.