Sam Drive
Member
- Dec 27, 2020
- 22
- 32
Ilikuwa asubuhi moja nazungumza na mpenzi niliyekuwa nafikiria kumuoa nikamuuliza kuwa endapo mzazi wake atafahamu hali yangu ya kiuchumi, kuwa ni ya chini je atakubali nimuoe?
Akasema hawezi kukubali, na hata nikienda kujitambulisha nisiseme ukweli kuhusu hali yangu ya kiuchumi.
Binafsi sioni kama ni sawa kwangu naona kama sitakubaliwa vile nilivyo...kama itahusisha kudanganya kuhusu uwezo wangu...ni bora kuahirisha na kuendelea kutafuta yule ambaye tutakubaliana kwa hali zote.
Maoni yenu wakuu
Akasema hawezi kukubali, na hata nikienda kujitambulisha nisiseme ukweli kuhusu hali yangu ya kiuchumi.
Binafsi sioni kama ni sawa kwangu naona kama sitakubaliwa vile nilivyo...kama itahusisha kudanganya kuhusu uwezo wangu...ni bora kuahirisha na kuendelea kutafuta yule ambaye tutakubaliana kwa hali zote.
Maoni yenu wakuu