Recent content by salumallya

  1. salumallya

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    NA BADO. wa prof jay. kweye album ya Machozi jasho na damu.
  2. salumallya

    Lema anasambaza vipeperushi vya kuomba kura! Maajabu!

    Wai nyie wahini kondoa arusha ni habari nyingine hiyo kubali ukatae. Tukutane 14 december
  3. salumallya

    Godbless Lema lazima ashinde Arusha

    Na ole wachakachue sisi ni wazoefu wa paaa.
  4. salumallya

    CCM yabaini mchezo mchafu Arusha mjini

    Hii ni arusha vunga tu. Ccm icu ni dawa ya kutapika ile makijani.
  5. salumallya

    Kasi ya Rais Magufuli yampa wakati mgumu Godbless Lema

    Kw lema fikirieni vitu vingine yani ccm ina kata moja tu na hatujui waliipataje. Yani ngoja mtaona kila kituo utaskia ccm kura 6. Cdm 1700 huku sio kondoa dodomya bwana saaahuni na mkichakachua huku tumezoea hiyo miliyo ya paaa wai
  6. salumallya

    Lowassa kutoa tamko zito Jumamosi katika Ufunguzi wa Kampeni Jijini la Arusha

    Hii mikwara inayoendelea huku a.city ni ya nn jamani mbona hatuelewi hii magari ya police huku mjini
  7. salumallya

    Tukae kimya, haya malalamiko yalipaswa kuanza tangu ujio wa Lowassa na kukabidhiwa kijiti

    Naona arusha leo ni mikwara ya kutosha hiyo pesa ya mafuta ya kutisha raiya wangeingiza kwy mambo ya msingi kwl demokrasia hakuna afrika
  8. salumallya

    Ujio wa Pope Francis Africa, Tanzania imepigwa teke?

    Kweli kuna watu wanatafuta laana kw bidii
Back
Top Bottom