Recent content by salum mabura

  1. S

    Pepsi yadhamilia kuipa yanga mkataba wa mil 600.

    Hii ndio jf bana kwenye gazeti la mwananchi nimeona wameandika PEPSI wanataka kuanzisha PEPSI COLA na wajitangaze kupitia jezi za YANGA Kwa milioni 300! Lakini hilo halitowezekana ikiwa Azam watakubaliwa kuonesha ligi kwa vile AZAM nao wana Azam Cola ambao ni washindani wa PEPSI!
  2. S

    Pemba yaongoza kwa umasikini Zanzibar

    Nashangaa Micheweni imewakilisha PEMBA yote au habari inaendelea? hv ukisema wilaya ya mpwapwa kuna ukame na ni masikini je inawakilisha Tanzania nzima? Mm naona watu washaanza kujiona matajiri na kuanza kushutumu mara wachawi, wafuga majini, wasiopenda kufanya kazi! Hivi hawajasikia ripoti...
  3. S

    Maajabu ya rangi nyeusi

    Najitokeza kwenu wana jf kuuliza swali langu hivi:- kwanini matairi yote duniani yanatengenezwa kwa kutumia rangi nyeusi? Ukiangalia matairi ya gari,ndege,baiskeli n.k Hv kwanini hayatengenezwi kwa rangi nyingine kama nyeupe,nyeusi,nyekundu n.k Naombeni jibu jamani km yalishawahi...
  4. S

    Uwongo wa Pamoja Haudumu

    Hapo ni kueli woteee!
  5. S

    Ikiwa hivi utafanyaje?

    Nitaenda kulala!
  6. S

    Maisha siyo mchezo

    Duh nouma kweli!
  7. S

    Hata kama ni wewe utajisikiaje?

    TBC Leo wameonyesha ile taarifa ya pinda kulia si ikagongana na lori ikazama mpaka ndani ya maji ni uhai kwa sisi tusiojua zaidi ya Obama kuna serikali mpaka jana nikarudi nikauliza aliyeng'oa jimboni amepata wangapi pale hospitalini nijibu wewe?
  8. S

    Habari kuu ya leo!

    Habari zilizotufikia sasa hivi kupitia mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, zinasema kwamba leo ifikapo saa 1:00 za jioni kutakuwa na giza kubwa kutokana na jua kuzama upande wake wa magharibi! shime wananchi mkumbuke kuwasha taa zenu mapema. Mm nishafikisha!
  9. S

    kupenda noma

    Bora hivo kuliko angekuta sms ya kutolewa nje!
  10. S

    Katika maisha vitu viwili vinahusika

    Ukifa tena sijui utarudi kua nani!
  11. S

    Mume na mke Bar

    Siku nyingine anakopa siyo?
  12. S

    Hili Ndilo Taifa La Tanzania!!!!!

    Taifa ambalo hampiki vizuri wala hamfagii mpaka aje mgeni! Tabia ya wananchi mpaka serikali! Kweli ndege wenye mbawa zinazofanana wanaruka pamoja! Sijui tumerithi hii tabia au Mungu katuchagua tunaofanana tabia katueka pamoja?
  13. S

    wanafunzi wengine ni vipaji maalum basi tu.

    Mwalimu kachagua kitu ambacho hana yaani akili duh!
Back
Top Bottom