Mbuna
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 269
- 71
Maisha si ya kukurupukia ukayaona madogo kama wachezaji wa ARSENAL,ukataka kuyapata kwa kupendelewa kama MAN U,usitake kuyapata kwa nguvu kama wachezaji wa CHELSEA,usiyatafute kwa kushtukiza kama mashambulizi ya REAL MADRID,usiyatafute kwa kutumia gharama kubwa bila mafanikio kama MAN CITY,maisha ni kutulia kama pasi za BARCELONA na mipango mizuri kama BORUSSIA DORTMUND na kuwa mvumilivu kama LIVERPOOL.