Recent content by salum bin hassan

  1. S

    Mwanasheria Mkuu wa serikali akataza CHADEMA kutumia neno UKUTA katika Oparesheni yake

    Mh. Masaju amesema oparesheni UKUTA ina maneno ya kijeshi, sio neno "UKUTA" ina maneno ya kijeshi. Anamaanisha baadhi ya maneno yanayotumiwa na wahamasishaji ni ya kijeshi au kivita. Na hii inakiuka katiba na sheria ya nchi pale unapohamasisha uasi. one should not allow to incite people to rebel...
  2. S

    Mwanasheria Mkuu wa serikali akataza CHADEMA kutumia neno UKUTA katika Oparesheni yake

    Kama uko mbali na KATIBA Ibara ya 30 (2) (e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania inasema kama ifuatavyo: 30.-(1) Haki na uhuru wa binadamu ambavyo misingi yake imeorodheshwa katika Katiba hii havitatumiwa na mtu mmoja kwa maana ambayo itasababisha kuingiliwa kati au kukatizwa kwa haki...
  3. S

    Mwanasheria Mkuu wa serikali akataza CHADEMA kutumia neno UKUTA katika Oparesheni yake

    CHADEMA wanataka kuandamana kwasababu wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara ya kuzunguka nchi nzima. Swali la msingi la kujiuliza ni je mikutano hii ya viongozi wa CHADEMA kuzunguka nchi nzima baada ya uchaguzi ina uhalali wa kisheria? Au swali jingine la kujiuliza ni kuna tofauti gani kati...
  4. S

    Kinachovuruga Taifa ni Ubaguzi

    Vigezo mnavyotumia kusema kuna ubaguzi au mmeonewa vinautata. Mkishinda kesi mnasema mahakama inatenda haki, mkishindwa mnasema mahakama haitendi haki. Msigwa akifanya mikutano yake Iringa ikiisha salama bila kusumbuliwa na polisi hamsemi kuna ubaguzi. Lowassa akifanya mikutano yake Mtwara...
  5. S

    Ili busara itumike kuepusha shari September 1, busara hiyo shurti kwanza iwepo! Je Ipo?

    Nilitegemea utanijibu kwa kifungu kinachohalalisha UKUTA lakini cha ajabu unanikumbusha ziara za KINANA. Waingereza wana msemo wao "two wrongs don't make it right"; Nikikuibia usipoenda kushitaki polisi, haimaanishi na wewe ukiniibia sina haki ya kushitaki polisi, wala huko polisi huwezi...
  6. S

    Ili busara itumike kuepusha shari September 1, busara hiyo shurti kwanza iwepo! Je Ipo?

    CHADEMA wanataka kuandamana kwasababu wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara ya kuzunguka nchi nzima. Swali la msingi la kujiuliza ni je mikutano hii ya viongozi wa CHADEMA kuzunguka nchi nzima baada ya uchaguzi ina uhalali wa kisheria? Au swali jingine la kujiuliza ni kuna tofauti gani kati...
  7. S

    Mambo yanaenda kasi sana hebu ona haya

    Hii kasi yao baada ya kupitia oparesheni nyingi (sangara nakadhalika) ambazo huwa zinaishia hewani au angani, sasa wamekuja na UKUTA. Kasi yao ni ya ajabu inaweza kupotea oparesheni UKUTA hewani au angani. Kila nikiona kasi yao inanikumbusha wana mazingaumbwe, hawa wanauwezo wakutumia mikono yao...
  8. S

    CHADEMA watangaza kuanza operesheni ''Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania" (UKUTA)

    CHADEMA wanataka kuandamana kwasababu wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara ya kuzunguka nchi nzima. Swali la msingi la kujiuliza ni je mikutano hii ya viongozi wa CHADEMA kuzunguka nchi nzima baada ya uchaguzi ina uhalali wa kisheria? Au swali jingine la kujiuliza ni kuna tofauti gani kati...
  9. S

    Jaribio kuu katika historia ya Rais Magufuli ni Septemba 1

    CHADEMA wanataka kuandamana kwasababu wamekatazwa kufanya mikutano ya hadhara ya kuzunguka nchi nzima. Swali la msingi la kujiuliza ni je mikutano hii ya viongozi wa CHADEMA kuzunguka nchi nzima baada ya uchaguzi ina uhalali wa kisheria? Au swali jingine la kujiuliza ni kuna tofauti gani kati...
  10. S

    Je, Maandamano ya CHADEMA yana uhalali kisheria?

    Naona hii imewafunga midomo BAVICHA. Inaonyesha wazi jinsi UKUTA unavyotaka unavyotaka kuvunja amri halali ya polisi iliyowekwa kwa mujibu wa katiba.
  11. S

    Je, Maandamano ya CHADEMA yana uhalali kisheria?

    Mimi naona mdahalo unaweza ukawepo juu ya kwamba polisi wameweka vikwazo vya msingi (reasonable restriction) au sio, lakini hata katika mdahalo huu sioni CHADEMA kama wanaweza kushinda, kwasababu kama chama cha siasa hawana sifa wala nyenzo za kufanya tathimini ya hali ya usalama. Sifa na...
  12. S

    John Shibuda kuanzisha chama chake cha siasa au kuhamia TADEA

    Huyo Joachim Mwingira lazima aelewe rasimu kuchakachuliwa (kurekebishwa) sio kosa, kosa ni rasimu kutowakilisha matakwa ya watanzania walio wengi. Sasa kuna ushahidi gani KATIBA inayopendekezwa sasa hivi kwa wananchi haiwakilishi matakwa ya wananchi walio wengi? UKAWA inasema kujadili serikali...
  13. S

    Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

    Hii itatusaidia kujuwa tuunge mkono adhabu atakayopewa au tusiunge mkono.
  14. S

    Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

    watu humu ndani tulikuwa tunataka kujuwa makosa ya shibuda, sasa jamaa kawa mstaarabu kutunyambulishia nyie mnapiga kelele.
  15. S

    Shibuda kuondolewa CHADEMA leo

    Hapa nani kamuacha mwenzie CHADEMA au SHIBUDA? Huyo SHIBUDA kisha sema uchaguzi unaokuja agombei kupitia CHADEMA.
Back
Top Bottom