Recent content by salomoe

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya Umasikini Kimkoa Tanzania 2018

    Ndio hivyo watu wanafikiria mini badala ya mikoa. Kimaendeleo ya makazi sio ajabu Tanga kuizidi Arusha. Kama ulivyosema ukiacha Arusha na Arumeru kwingine hali sio kutokana na jamii za ufugaji.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa umma kutomuunga mkono Rais Magufuli 2020!

    Tupe wewe huo ukweli. Alichosema ndio ukweli
  3. S

    JamiiForums Tanzania Je, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni bush lawyer? amejisahau? anapotosha? au anahitaji elimu?

    Kwahiyo kwa Mboye ilibidi rufaa imalize kusikilizwa ndio wawe huru ila kwa hukumu hii hakuna kinachosimama. Nchi hii tunaelekea wapi?
  4. S

    JamiiForums Tanzania Huyu Mlinzi wa Rais Magufuli kapatwa na majanga gani tena?

    Amepanda bila shaka.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu akiwa London amenifikirisha "sana" juu ya uimara wa Bunge letu!

    Hahhahahha! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Nini kingetokea Serikali isingeingilia biashara ya zao la korosho?

    Hakuna mnada uliowahi kutaka kununua korosho kwa tshs. 1,500. Bei oliwahi kufikiwa kwenye minada ni kuanzia tshs. 2,500 hadi 2,700. Naona umeleta mjadala wa kitu ambacho hukielewi. Tshs. 1,500 ilikuwa bei elekezi na sio bei ya solo. Hivyo kama siasa isingeingia wakulima wangeuza kuanzia...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Hali huku Kusini bado ni mbaya sana, korosho haijalipwa. Je, watanzania wenzetu wametuacha tufe nalo?

    Ukweli ni kuwa moja ya mambo yanayochoche uzalishaji wa korosho ni kqngomba. Kwa nini? 1. Wakulima wengi was korosho ni masikini kwani wanategemea zaidi zao moja au mawili au ya msimu. 2. Kwa kutegemea mazo ya msimu Mara nyingi kipindi cha kuhudumia korosho huwakuta hawana kitu na hivyo...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Halmashauri Iringa yaanza kukwamisha Mradi wa Stiglers Gorge

    Lakini pia ukumbuke taasisi nyingi zinazotekeleza miradi ya Serikali hujiona sio jukumu lao kulipa Halmashauri ada na tozo mbalimbali kwa kisingizio kutekeleza miradi ya serikali. Huku pia ni kuzihujumu Halmashauri kwani ni jukumu lao kukusanya mapato ili kujihudumia. Pia unakuta vifaa ambavyo...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Inachukiza Kanisa Katoliki kuchelewesha utakatifu wa Kipenzi cha Afrika Hayati Nyerere

    Mh! Suala hili halimaanishi nyerere kuwa Mbinguni mkuu. Ni zaidi ya hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bernard Membe na mtandao wao hawakufurahia uamuzi wa Rais Magufuli kununua korosho kwa wakulima tena kwa bei kubwa kuliko iliyopendekezwa

    Hii aijibu. Watu wanakaa nakuandika mambo wasiyoyajua. Kwa ufupi mwaka huu kwa Wakulima wa korosho ni janga.
  11. S

    JamiiForums Tanzania St Peters Oysterbay rekebisheni Hili

    Ni sehemu ya Ibada ni kama kusema maji ya ubatizo yana umuhimu gani?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Mwaka jana bei ya korosho kwa kilo ilikuwa sh 4,000 mwaka huu ni sh 2,700

    Kwa hiyo imeshuka tena? Je wakulima wameuza?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

    Mkuu una Hoja ungemalizia. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. S

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

    Naconnect dot na mjadala was Bi Maria Sarungi twitwer Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa fedha na mpango hospitali ya Rufaa Bugando, mtawa Suzan Bathlomeo ajirusha Ghorofani na kufariki

    Inasemekana pesa zilipotea kwenye idara yake sio kuwa ameiba. Naamini hahusiki ila kama ni kweli alijirusha amekosa moyo wa kuhimili mikiki ya misukosuko. Huku waliokwapua akiwaangalia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom