nadhani ndo lengo lao,maana hata hiyo picha aliyopost zama inaonyesha wanapenda na ci kama sudi anavyosema kwamba kaka wa zama ndo kalazimisha ndoa ifungwe
hahahaha cdhani kama ni kwel,million 65 itoke kwa ajili ya kumkomesha Fulani??!! teh teh teh huu ubuyu sudi auongezee sukari kidogo aseee bado haujaniingia akilin,au hawakupnd zama kuolew na mtu mwngn!!
wamuache dada wa watu ndoa ynyw haina hata wiki ishaanz kutiwa nuksi..!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.