pole sana kaka wala huna makosa ni vishawish vya huyo dem tu; na maisha pia yamechangia kutopata kazi mapema,,, jamaa kashajua mtoto wa pili sio wake kwahiyo atamfajia ukatili tu,, watafute watu 2 au 3 uende nao jaribu kuongea nay kikubwa ,af mtoto usimwache chukua damu yako maana lazima...