Recent content by salimtevez

  1. S

    JamiiForums Tanzania Taifa lazima Limshtukie huyu Mzee, ana Mipango yake ya 2030 !! Tuwakatae Wahuni Kwa nguvu zetu zote

    Ndio akubali watu watekwe na kupotea na kuka kimya
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kabendera amechukua "risk" iliyopitiliza. Atawaambia nini watu endapo Ben Saanane au Azory Gwanda watarejea uraiani?

    Kabendra ni muandishi wa habari za kiuchunguzi amejirizisha kama ni kweli
  3. S

    JamiiForums Tanzania Ikulu yajitetea Rais kuchelewa maamuzi juu ya Kiporo Muhongo

    Jk mwachie muhongo abaki ili ccm October tuiondoe madarakani kwa urahisi tena na sisitiza muhongo baki tu mana sikio lakufa hali siki dawa
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mjue Edward Lowassa: Hii ni CV yake

    Lowassa hafai
  5. S

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka ashauri wabunge wasiwe Mawaziri!

    Mbona hakusema ndani ya bunge la katiba wakati yeye alikua mjumbe mbona ujasiri wake hatukuona ndani ya bunge la katiba mama wewe tuache tu wa tz wasasa tumesha jua katiba yetu ni ipi viva babu warioba
  6. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni chama cha bara kilichokataliwa ukanda wa Pwani na Zanzibar

    Wewe ndugu yangu ka ukijua watu wa pwani wengi ni vilaza hawajaenda shule mimi kwetu ni tanga kwahiyo huniambi kitu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Wadau baada ya Hotuba ya Rais Kikwete kwa 'Wazee wa Dar' kuhusu Sakata la Tegeta Escrow

    Hili jini ccm mwisho wake ushafika asante jk kwa kulinda mafisadi ili wananchi na sisi tufanye mamuzi magumu mwakani tena nasema mwaka 2014 nindazako tena undoka haraka sana 2015 njoo fasta ukawa pasha misuli moto
  8. S

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Wadau baada ya Hotuba ya Rais Kikwete kwa 'Wazee wa Dar' kuhusu Sakata la Tegeta Escrow

    .mimi na amini mijizi haiwezi kuwajibishana kama wasikia mfanyakazi wa ikulu kachukua pesa ya wizi tutegeme nini kwa jk?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aahirisha kuongea na 'Wazee wa Dar'; sasa kuongea nao Jumatatu wiki ijayo

    Jamani walio chikua hela kwenye rumbesa ni vigogo wa ikulu ndio mana jk ana mchechetu
  10. S

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete aahirisha kuongea na 'Wazee wa Dar'; sasa kuongea nao Jumatatu wiki ijayo

    Hivi jamani hawa wazee wa mkoa wa Dar es salam ni kinanani hao katika taifa letu? Sisi wengine tuna jua wazee wazalendo ni wale kina marehemu Rupia, mshamu, Dosa azizi mduly wahidi sesky na wengine wote wazee wa tanu walio kua wakitetea haki za wanyonge hadi wengine walikua wakitoa pesa zao...
  11. S

    JamiiForums Tanzania G. Lema anaongoza vurugu muda huu katika kituo cha kupiga kura Osterbay Arusha

    Magamba mkae mkijua sasa watanzania sasa hatuogopi vitisho tunahitaji mabadiliko tu coz haki hupiganiwa na sasa watanzania tupo tayari kupigania haki kuliko kupiga magoti na kusujudu kwa mafisadi viva kamanda lema
  12. S

    JamiiForums Tanzania Diwani CCM kata Mzimuni, bw. Chambuso amshawishi mkurugenzi Kinondoni kurudia uchaguzi walioshindwa

    Chambuso kwanza sio mkazi wa magomeni mapipa kwa sasa ni mkazi wa Temeke asitake kutuchanganya
  13. S

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Serikali za Mitaa: Ni mwanzo wa mwisho wa CCM?! Au ni hasira tuu za Escrow, na Katiba?!

    Hao wanyamwezi sijui vip ina mana wapowapo tu
  14. S

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

    Jamani magamba wameharisha uchaguzi manispaa ya ilala mpaka wiki ijayo badakuona hali mbaya
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

    Hi mikoa ya ukanda wa pwani ndio kabisa watu wamelala Kama Dar pana vilaza kibao
Back
Top Bottom