Recent content by salimkabora

  1. salimkabora

    Fundi TV Flat screen

    Anahitajika ajili ya kurekebisha TV tatu; mbili sumsung na moja panasonic. Mbili zinahitaji card mpya na nyingine vifaa kadhaa kuipa uwezo wa ku boot. Alipatikana fundi lakini inaonekana wengi ni matapeli kwani aliingia mitini na pesa za kununulia vifaa; ni zaidi ya siku kumi sasa yuko kwenye...
  2. salimkabora

    ACCOUNTANT ANAHITAJIKA

    It is a Pharmacy you will also need to be a pharmacist
  3. salimkabora

    ACCOUNTANT ANAHITAJIKA

    Awe na Advanced Diploma au zaidi na awe computer literate; awe na uwezo wa kutumia accounting packages kama Tally, Myob, nk. kwa ajili ya duka la jumla na rejareja hapa Dar. Mshahara ni makubaliano ila sio chini ya viwango vya serikali kwa kada husika- ubunifu katika matumizi ya computer ni sifa...
  4. salimkabora

    Waziri Lukuvi nisaidie, ni mwezi wa pili sasa nasubiri saini ya kamishna wa ardhi ili niweze kupata hati

    sidhani hata kama habari hii itamfikia; mimi lakwangu lina miaka mitatu hapo manipaa ya Bagamoyo nazungushwa na kakijana kanaita Kelvin ambako ndio kalinifanyia upimaji wa viwanja vyangu Kaole halafu kakarudi mgongoni mwangu na kuanza kupimia majirani kuingia ndani ya eneo langu ili hatimaye...
  5. salimkabora

    Wito: Viongozi wa upinzani kaeni na wabunge wenu kunusuru hama hama

    Tanzania na hata sehemu nyingi ulimwenguni hakuna mazingira yanayoashiria umuhimu wa kuwepo vyama vya upinzani. Mahali popote ambako theluthi mbili ya wananchi hawajaichoka serikali yao upinzani ni Saccos
  6. salimkabora

    Pharmacy software

    Inahitajika software Nzuri ya kufanyia Mauzo Kwenye duka ya wholesale na retail; Iwe na uwezo wa kuandaa requisition, purchase orders na iwe integrated na financial reports; Teamviewing essential Tuwasiliane 0754 84 33 88
  7. salimkabora

    Pharmacist, fundi dawa, wanahitajika

    Wataalamu tajwa wanahitajika kwa ajili ya huduma kwenye duka jipya la dawa hapa Dar. Mwenye kuhitaji au taarifa kuhusu wahitaji tafadhali ani pm
  8. salimkabora

    Dar, Wenyeviti serikali za mitaa CUF Wamuunga mkono Lipumba

    Ndugu zangu mimi sijui hata ni kwa nini tunashabikia haya mavyama ya upinzani ya kijinga jinga tu; tusithubutu hata kidogo kukabidhi uongozi wa nchi kwa mivyama michanga tena ya ovyo ovyo namna hii tutapata shida sana. Nchi lazima iendelee kuongozwa na chama imara kilichokwisha komaa kwenye...
  9. salimkabora

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Tunao utamaduni wa kutawalana ambao unaainisha kuwasilsha kero kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi juu lakini bado tumeendelea kuona wananchi wakisimamisha misafara ya viongozi hasa Rais na waziri mkuu ili kutoa kero zao na wakati mwingine kuvamiwa mikutano yao kwa mabango yenye kero mbalimbali...
  10. salimkabora

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Nahitaji gearbox ya mercedes benz 270ml five speed diesel nitapata wapi? huko mitandaoni naona wanazugazuga tuuuu
  11. salimkabora

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Mimi naona mijadala yote kuhusu hili jambo iko nje ya box; HIVI SHIDA NI JINAI YA KUFOJI AU SHIDA NI AINA YA UTUMISHI? Aina ya utumishi inahalalisha jinai? Inawezekana bado niko usingizini au idadi kubwa sana ya watu bado iko usingizini
  12. salimkabora

    Kwa Mchezo mchafu unaosukwa, UKAWA wasishangae 2020 wakabakia na wabunge watatu (3)

    Nani hajui upinzani upo kwa ajili ya kutafuna ruzuku? Mkuu anawadhibiti tu wasije kuwa wengi mno bungeni kutia hasara ya mijiruzuku mikubwa ya kutafuna ovyo
  13. salimkabora

    Kwa Mchezo mchafu unaosukwa, UKAWA wasishangae 2020 wakabakia na wabunge watatu (3)

    Nani hajui upinzani upo kwa ajili ya kutafuna ruzuku? Mkuu anawadhibiti tu wasije kuwa wengi mno bungeni kutia hasara ya mijiruzuku mikubwa ya kutafuna ovyo
Back
Top Bottom