Recent content by salehehunter

  1. salehehunter

    Watanzania tunanyang'anywa Haki ya kufaidi Mali asili zenu

    Unajua hii kitu haijawhi kutokea katika nchi yeyote duniani kumyima mwanchi wake Haki na kumpa mgeni Botswana wamezuia uwindaji kwa wageni na kuwaruhusu wananchi waendelee na uwindaji
  2. salehehunter

    Watanzania tunanyang'anywa Haki ya kufaidi Mali asili zenu

    Nimemsikia waziri nyalandu katika hotuba yake leo wakati wa uzinduzi wa Bodi wawanyama pori akipiga marufuku uwindaji kwa watanzani kwa miaka miwili eti kuzuia ujangili ila kwa Wageni waendelee kuwinda nani asie jua kua waziri nyalandu anatumiwa na makampuni wa Wageni ya uwindaji kwa ufisadi wa...
  3. salehehunter

    Uongozi wa tanesco arusha hufai

    Uongozi wa tanesco arusha hufai kabisa wala hawashughulikii Matatizo ya Wateja wao sisi Wakazi wa kimandolu manispaa ya arusha haruna umeme leo ni Siku ya tano tumepeleka tarifa kwenye ofisi ya tanesco jibu walio tapatia eti transfoma imeungua na hawana transfoma nyingine ya kuibadili hivi kweli...
  4. salehehunter

    Ngeleja: Zitto aliomba na kupewa milioni 30 kutoka kwa Rugemarila

    Mengi ni mwizi mkubwa na wa visasi
  5. salehehunter

    Nauza iPhone 4s na samsung Galaxy tab

    Nicheki mkuu nipo arusha no zangu ndio hizo
  6. salehehunter

    Nauza iPhone 4s na samsung Galaxy tab

    Nauza iPhone 4s imetumika na samsung Galaxy nayo imetumika zote zipo katika Hali nzuri zipo hapa arusha iPhone 4s nauza laki 400,000 na Galaxy tab laki 500,000 kama unahitaji piga Simu 0777 777733 au 0682 898989
  7. salehehunter

    Natengeneza ndege na FM transmitter

    Kwa bongo ni ngumu atazungushwa Sana njoo kesho fulani hayupo watamfanya akate tamaa
  8. salehehunter

    Kova 'anashiriki' kutorosha Twiga na Madini ya Taifa

    Unajua unavyo toa maelezo ya we na ukweli halo upanga nani ataweka twiga Ndani ya Nyumba urefu wa twiga Kilauea mtu akipita barabarani atamuona hicho kitu hakiwezekani kabisa
  9. salehehunter

    Hod hodi hodi

    Nashukuru sana
  10. salehehunter

    Hod hodi hodi

    Kwa wana jamii forum wote Hali zenu Mimi ni mgeni naomba mnikaribishe
  11. salehehunter

    Hod hodi hodi

    Wana jami Hali zenu wote naomba mnikaribishe Mimi mgeni kwenu
  12. salehehunter

    Ligi Kuu Vodacom: Leo tar 22/2/2015

    Yanga timu ushindi 2-0
Back
Top Bottom