Habari zenu wana jamvi. Nina mtaji wa sh 10 milioni za Tanzania nataka niziweke katika hii biashara.
Kiufupi nataka ni deal na pipe, clumbing fiting zote, pamoja na toilet na ceramic items.
Kuhusu maeneo c mabaya kwani shuhuli za ujenzi zinafanyika kwa kasi. Tatizo cjui kama mtaji unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.