Sasa kwa nn asivae magome sasa kuthibitisha ukwel,na hayo magome yalikuwa halili wakati wa ujima coz africa ilikuwa intawaliwa na makolon,na ndoo maana baada ya kila nchi ilipopata uhuru zikapitishwa sheria xa kulinda mila za nchi ukiongea sana tutakuoeleka kwa watu wanaovaa chini ya makalio...
mnapinga nn nyie ni mira ya afrika kucheza na chupi? Au hamjui mwl nyerere aliita shule za msingi na cyo shule tu achen kusifia ukahaba bhana au huna dada(fundisha kama unaye na kama huna wapo wanduguzu)
Kaka saikolojia ipi kk mbona hujafafanua mm naulixa kwa nn tufutiwe wote wakati wapo litajwa n majina yao had dugu yake na anacheo gani uhamiaji? Cc kosa letu nn?
Mnamo tarehe 28 mwez August uhamiaji watanzania walifanya interview ili kupata ajira ,wapo tulipita na tukaitwa kuripoti kazin tareh 6 sep lakin ilibadilika na kufutiwa matokeo yetu kwa sababu eti mitandao ya kijamii ililipoti kuna watu walipita kiundugu japo walitajwa majina baadhi lakin sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.