Recent content by salawapeter

  1. S

    JamiiForums Tanzania UN: Tunafuatilia kwa ukaribu hali ya usalama Tanzania na mauaji ya Kiongozi wa CHADEMA na mwanafunzi wa Chuo Kikuu

    Kuna watu ambao kufikiri kwao lazima utilie mashaka sana hasa unapokuwa na uhuru. Wewe umekalia ujinga wa kutegemea mzungu. Inaonesha badala ya kujishughulisha na kupambana na hali yako umekalia kuandika kwenye mtandao tu.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Jiji la Mwanza linakua kwa kasi mno!

    Nadhani umelewa pombe. Mwanza unasema jiji wanajitahidi kwa miundo mbinu gani ya haja barabara zote zimekatika na mvua. Jiji hili la walaji tu hasa watendaji wake
  3. S

    JamiiForums Tanzania Lissu tambua unaishi katika Taifa ambalo wengi wana mitazamo ya aina hii

    Nadhani Lissu siyo msomi anayejitambua. Hata wewe uliyeleta uzi huu ni kwamba hujitambui
  4. S

    JamiiForums Tanzania Sakata la Kagera: Simba SC tutatumia Dola Elfu 15 kuipeleka barua FIFA

    Wacha wakapate haki yao huko.TFF imejaa uzandiki unafiki na upendeleo wa wazi. Mwaka jana AZAM F.C walipokwa pointi tatu bila hiyo timu pinzani iliyocheza nao bila hata kukata rufaa ya kupewa pointi tatu. Walifanya hivyo ili AZAM F.C izidiwe pointi na timu ya Yanga timu ya Rais Malinzi.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

    TFF ya Malinzi iibebe Yanga tena maana hawana hata haya. Maamuzi ya kamati bado hayajakamilika kutoa pointi kwa Kagera Sugar bila kuwataarifu Simba SC kwa maandishi kuwa wamepokwa pointi.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Mrisho Mpoto amepoteza dira au anaona tusichokiona wengi kwa Magufuli?

    Wewe nafikiri bado una dira. Hebu ionyeshe
  7. S

    JamiiForums Tanzania Simba SC yapokwa pointi 3 dhidi ya Kagera Sukari

    Kitu ambacho kinatakiwa kwa Kamati ya Katiba Sheria na Hadhi ya wachezaji ni kuwaambia watanzania kuwa Fakhi alikuwa na kadi tatu au la. Hii ndiyo inawafanya watanzania kushabikia Timu za Uingereza. Maana bingwa anayepewa kila mwaka akienda kwenye mashindano ya kimataifa ni mapema anarudi na...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Malinzi kama Rais wa yanga wakati huo alishindwa kuwafunga simba sc. Sasa ndio anaona ni wakati wake kuiadhibu Simba SC. Hata huyo Mwesiga sijui katokea wapi kama si Yanga. Mpira Tanzania msahau kama Malinzi pamoja na Mwesiga kama watendaji wa juu wa TFF. Karibu wanamaliza wakati wao hakuna...
Back
Top Bottom