Recent content by salambamwanasalamba

  1. salambamwanasalamba

    Kazini kwetu bukoba

  2. salambamwanasalamba

    Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

    Abiria waliokuwa wasafiri na ndege ya fast jet saa 2 asubui toka mwanza kwenda Dar. wametelekezwa na wafanyakazi wa fast jet airport bila maelezo ya msingi. alitokea jamaa mmoja aliyejitambulisha kama incharge wa fast jet mwanza airport akawataarifu abiria ndege imekuwa cancelled, abiria...
  3. salambamwanasalamba

    Wasomi wa Tanzania wametoa mchango gani kwenye Taifa letu mpaka sasa?

    Wasomi wengi hapa Bongo si wazalendo.. they are selfish.. Akilini wanaplan ''Individual gain'' watoke vipi, wapige kivipi (waibe).. wajilimbikizie mali binafsi kivipi. .. wachukue rushwa kivipi??? tutaendelea kuwa masikini kama hatutabadilika.
Back
Top Bottom