Abiria waliokuwa wasafiri na ndege ya fast jet saa 2 asubui toka mwanza kwenda Dar. wametelekezwa na wafanyakazi wa fast jet airport bila maelezo ya msingi. alitokea jamaa mmoja aliyejitambulisha kama incharge wa fast jet mwanza airport akawataarifu abiria ndege imekuwa cancelled, abiria...
Wasomi wengi hapa Bongo si wazalendo.. they are selfish.. Akilini wanaplan ''Individual gain'' watoke vipi, wapige kivipi (waibe).. wajilimbikizie mali binafsi kivipi. .. wachukue rushwa kivipi???
tutaendelea kuwa masikini kama hatutabadilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.