Habari zilizonifikia hivi punde, kutakua na uchaguzi wa serikali za mitaa mji mdogo USA River, tulifanya uchaguzi hapa mwaka 2012 kwa maana hiyo tutakua tumekaa miaka mitatu tu badala ya mitano, wamefanya hivyo kwa kustukiza ili waweze kuchukua mji kutoka kwa CHADEMA, lakini watakua wamebugi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.