Recent content by Sakka

  1. S

    Uchaguzi serikali za mitaa mji mdogo USA River

    Habari zilizonifikia hivi punde, kutakua na uchaguzi wa serikali za mitaa mji mdogo USA River, tulifanya uchaguzi hapa mwaka 2012 kwa maana hiyo tutakua tumekaa miaka mitatu tu badala ya mitano, wamefanya hivyo kwa kustukiza ili waweze kuchukua mji kutoka kwa CHADEMA, lakini watakua wamebugi!
  2. S

    Jinsi ya kuchangia CHADEMA kwa njia ya M-PESA

    nyerere walichangishana sumni ,sijui kama unaifahamu , kwa maana ilikua bado aujazaliwa.
  3. S

    Yaliyojiri Harambee ya CHADEMA live ITV - Oktoba 31, 2014

    ya ccm yalisomwa lini?mchango wangu kwa chadema nitatoa kwa m-pesa Leo usiku.
  4. S

    Kashilila: Orodha Ya Waliopitisha Katiba Pendekezwa Imekosewa, Itarekebishwa

    kama wamekosea ,kura zitakua zimepungua?
  5. S

    CHADEMA kufanya mkutano mkubwa leo jijini Arusha

    nipo kwa mrefu ndo naelekea huko kumfuta ole mideye kabisa.
  6. S

    CHADEMA kufanya mkutano mkubwa leo jijini Arusha

    watu wa moshi walishaelimika siku nyingi!
  7. S

    CHADEMA kufanya mkutano mkubwa leo jijini Arusha

    ndesamburo alipatikanaje kama mikutano aikufanyika?
  8. S

    Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Arusha - Tar 08.10.2014

    wamemiminika mpaka dodoma.kazi hakuna
  9. S

    Imefahamika, hapa ndipo kura za ndiyo za Zanzibar zilipotoka

    mawakala wa kuesabu kura mnaimani nao?
Back
Top Bottom