Recent content by sakap

  1. S

    Jiji la Mbeya kama kijiji

    Mpumbavu ww ko ndo umeona uje kutangaza kwamba ulipanda ndege. Iv unatokea wap maana Sio Kwa huo ushamba wako
  2. S

    Orodha ya majiji, miji na wilaya zenye mzunguko mkubwa wa hela Tanzania

    Naww hujitambui kabsa maana iyo chunya na kyela unazozisifia hapo kwamba ni Bora kuriko Rungwe Kumbe huijui mbeya vizuri iv Kuna mwaka umewahi kuona kyela au chunya zimeipita Rungwe ya magharibi mapato bila ata kunchanganya ata na ile Rungwe mashariki Jitafakiri kwanza ndo uandike mamb yako
  3. S

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Daaaa elim n kitu Cha msingi sana Kwaiyo ww unazan GDP ndo kipimo perfect chakupima standard of living mungu akusaidie maaana unasafali ndefu sana mpaka uje kufika
  4. S

    Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Kwan huko dar kwanzia magomeni ,manzese,mabibo,tandale,mbulahati,kigogo,temeke,kigamboni,mbagala,gongo la mboto, Kuna mipango miji au unaongea Ili uonekane naww unachangia mada
  5. S

    Naomba kufahamu tabia za wanyakyusa

    Nikuwa nakuheshim kitokana na umli wako kumbe m2 wa hovyo sana
  6. S

    Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

    Kwaiyo ifm simiyu campus n nyanda za juu musin sio Kanda ya ziwa
  7. S

    Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

    Kwan Arusha kama mkoa n mwaka wangap Sasa ata shinyanga ,tanga na morogoro hamjawapita kimapato ya mkoa na angalia mbeya n mala ya ngapi IPO kwenye tatu bora
  8. S

    Rungwe: Moja ya Wilaya zilizosahaulika na masikini zaidi Tanzania

    Daaaaa yaan Kuna watu itabid wapimwe ata akili zao kwel Rungwe ndo wilaya yakuambiwa wasomeshe watoto zako ktk taifa hili ambalo huwez kuwatowa wanyakyusa katika jamii za wasomi
Back
Top Bottom