MATOKEO KAMA YANAVOENDELEA KUTOLEWA:
Baada ya kuhesabiwa kwa asilima nane ya kura zote mpaka sasa, Uhuru Kenyatta anaongoza kwa 57.61% akifuatiwa na Raila Odinga 38.62%. Bado ni mapema endelea kusubiri kuna asilimia 72% ya kura bado hazijahesabiwa.
Wazo nzuri lakini kumbuka watoa vibali na hao wanaoipinga CHADEMA kwa nguvu zao zote kwa iyo si rahisi kwa wao kutoa kibali kwa media itakayobainika kuwa ina mlengo wa KICHADEMA CHADEMA.
Kuna msemo wa kiswahili unasema 'Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe' nimenukuu uo msemo wa kiswahili ili kuwakumbusha ilo akina chebacheba na martyr2012.
issue ilokuwa inajadiliwa ni 'Mwigulu Nchemba hawatendei haki wapiga kura wake' lakini jamaa naona wametwist na kuanza kumshambulia dkt...
kwanza hongera kwa kauchambuzi(kauchambuzi kwa sababu kamejaa hoja nyepesi sana kulizidi ilo chapuo unalolipiga) ulikokafanya kumhusu Mh. EL. Binafsi sina tatizo nae hata kidogo katika suala la utendaji na hilo amelithibitisha kwangu kwa kipindi kifupi tu alichopata kuwa PM nampongeza sana kwa...
kumbukumbu zangu zinaniambia haijawah kutokea vyombo vya habari vikawa na figure zinazofanana hata siku moja ivyo ni kitu cha kawaida tofauti za figure za leo pia hazikunishangaza.
kuhusiana na kulipotiwa kwa malimbikizo ya mheshimiwa sioni tatizo kwa sababu yeye ni 'Public Figure' ivo ni haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.