Recent content by saivan

  1. S

    Wakuu wa wilaya na siasa

    Wadau binafsi najiuliza sana na kubaki sina majawabu ninapoona wateule hawa baadhi ya ma DC wakikimbizana majimboni katika kipindi hiki cha chaguzi za chama kwajili ya kuweka mitandao yao ya 2020. Hivi ni kwamba nafasi za kuteuliwa walizonazo sasa ni ndogo sana ama? Lakini wengine tunawaona...
  2. S

    Ndalichako ashusha walimu 7460 kutoka shule za sekondari kuhamishiwa s/msingi

    Hakika huku ni kushindwa kabisa kabisa kuonyesha ueledi,usomi na ubunifu kwa waziri ndalichako. 1.WALIMU hao wamesomea mbinu, tabia,saikolojia kwa watoto wa umri wa angalau kuanzia miaka 13-18 nasio chini yahapo. 2.WALIMU wa shule zamsingi nao wamesomea mambo hayo kwa miaka 0-13 hivi. HIVYO...
  3. S

    PSPF tekelezeni mnayoyatangaza bila longolongo

    Nawashauri PSPF kuwa waungwana kutekeleza huduma wanazozingaza kwa wakati bila usumbufu kwa wateja wao kwani wana shida ya kuweka vikwazo vinavyoweza kuwakatisha tamaa wateja. Mfano fao la uzazi limekuwa na usumbufu mkubwa hasa mikoani. Pia ajirini watu competent huko mikoani au waliopo...
  4. S

    Ni nani mwenye thamani ndani ya CCM?

    Hakika hilo ni swali la msingi sana kila mtu kila mtu ajiulize
  5. S

    PSPF Igeni mazuri toka LAPF

    PSPF wamekuwa hawatoi huduma zifuatazo kwa wakati au hawatoi kabisa huku wakijitangaza kutoa huduma hizo 1.mafao ya uzazi 2.mkopo wa elimu ya juu 3.mkopo wa viwanja Huduma zote hizo kwa wateja wa LAPF hupatiwa ndani ya wiki Moja au mbili LAKINI PSPF watakwambia daada ya miezi mitatu na...
  6. S

    Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki

    Uungwana ni yeye kujitokeza hadharani auelezee umma wa wa tz ukweli tuu
  7. S

    PSPF jirekebisheni, igeni kwa wenzenu LAPF

    Kwa miaka ya hivi karibuni naona LAPF wakiwapelekesha mno PSPF katika ushindani wa kutoa huduma zenye ufanisi na kwa kasi sana.mfano LAPF walianzisha huduma ziuatazo kwa wanachama wake na kuwalazimu PSPF kuiga ili ku compete kwenye soko la wateja ambao wengi ni watumishi wa serikali 1.fao la...
  8. S

    Makatibu tarafa wanahitajika Tanzania kwa nyakati hizi kweli?

    Binafsi sioni kazi wala majukumu yao ya kila siku ambayo yana tija kwa jamii.. tunatumia fedha nyingi kulipa mishahara bila watu hao kuwa na core function inayoeleweka,mkuu nashauri uiondoe hiyo,tunakutegemea hata sisi wa ukawa.
  9. S

    Makatibu tarafa wanahitajika Tanzania kwa nyakati hizi kweli?

    Kimantiki ni watu ambao binafsi sioni kazi zao wala msaada hasa katika shunghuli za kila siku,vinginevyo nafasi hizo nashauri mkuu azitoe na zibaki za watendaji wa kata pekee.
  10. S

    Rais Magufuli akibadilisha Mawaziri, hawa lazima waende na maji

    Ni hawa wafuatao,Dr mpango,Dr ashatu kijaji, Ndalichako
  11. S

    Serikali inalea bomu linaloitwa Sheikh Khalifa Khamis, ipo muda litalipuka tu

    Graph uwezo wako wa kufikiri ni cheap sana,we ongelea chumbani tuu kwani kwenye kundi la wasomi you talk bn
  12. S

    Mwinyi: Waislamu walikuwa wakilazimishwa kula nyama ya nguruwe, kidogo ilete ugomvi mkubwa

    Yeah mzee alifanya watanzania wakafunguka aisee,lakin pia kuna tofauti kubwa kati ya kuongoza vs vyeti, mtu akiwa bachelor tu utagundua kama ana uwezo au kipaji cha uongozi
  13. S

    Arusha: Yaliyojiri kutoka mahakamani, rufaa ya Mbunge wa Arusha G. Lema, anyimwa dhamana

    Ajiepushe na lugha chafu dhidi ya mamlaka,aidha awaone wana psychology ili wamjengee uwezo wa kukontroo hasira,tuheshimu mamlaka halali zilizopo.asante
Back
Top Bottom