ni bora "wangewekeza kwenye ufugaji wa samaki/kuku..kuliko hizo ndege" ambazo hawajui ata pa-kuanzia au kumalizia
*wapige mnada mbali,kama vipi wauzie Sudan kusini,wanazihitaji
umenena mkuu..hapo hata "aki-discount cashflow yake",uwekezaji unakua mzuri kwa zaidi ya 5years na Return yake ni nzuri,na value ya mtaji pia inatripple...ni wazo zuri kwa hiyo hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.