Recent content by Sailor94

  1. S

    JamiiForums Tanzania Makame Mbarawa aiwakia ATCL

    ni bora "wangewekeza kwenye ufugaji wa samaki/kuku..kuliko hizo ndege" ambazo hawajui ata pa-kuanzia au kumalizia *wapige mnada mbali,kama vipi wauzie Sudan kusini,wanazihitaji
  2. S

    JamiiForums Tanzania Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    umenena mkuu..hapo hata "aki-discount cashflow yake",uwekezaji unakua mzuri kwa zaidi ya 5years na Return yake ni nzuri,na value ya mtaji pia inatripple...ni wazo zuri kwa hiyo hela
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nimeachana na mpenzi mara baada ya kuanza chuo

    wangebadilisha damu
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mbinu mpya za ufisadi wa vigogo hadharani

    *mkuu uliyewakilisha mada kama vile uko "ki-upande fulani"..alafu kama vile "umesapu mara nyingi sana"..mawazo mgando
  5. S

    JamiiForums Tanzania Rwanda leo wameingiza mzingo wa Airbuss A330-200! Si mchezo

    uko sahihi kabisa mkuu..kama vile "naniliu alimpa material feki partner wake",results zimetofautiana parefu sana!
Back
Top Bottom