Recent content by sailo

  1. S

    Pinda abadili upepo wa CCM urais 2015

    Sasa kwani Zanzibar nchi? hata Tanganyika si nchi. Alichosema ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inaunganisha Tanganyika na Zanzibar usiwasemee wa Zanzibari wapo wanaomtaka na pia wapo wasiomtaka
  2. S

    Shule kinara kidato cha 6 taabani

    Tambaza fanyeni tour ya kitaaruma Igowole Sec School, maana mmejisahau
  3. S

    Peter Mutharika, Rais mpya wa Malawi: Ziwa Nyasa ni mali ya Malawi!

    Nimesikia Congo na Burundi wanataka ziwa Tanganyika lao, sijui kenya na Uganda kama nao watataka Victoria yao?
  4. S

    Rais Kikwete atunuku nishani na tuzo za miaka 50 ya Muungano

    Ndugu yangu kwa uelewa wangu TUZO hizo ni kwa ajili ya walioulea muungano mpaka hivi sasa, Warioba alikua waziri mkuu wa kwanza na ndio mmoja ya walioulinda muungano mpaka hivi sasa unapoonekana haufai. Wachache wasiokuwa na uelewa ndio walimtuhumu kana kwamba yeye aliletapendekezo la serikali...
  5. S

    Mama amsamehe na kumfungua kitanzi mfungwa aliye hukumiwa kufa kwa kumuua mwanae

    Ndivyo hivyo dunia tunavyotakiwa kuishi japo kuwa inauma unapotendewa vibaya, maana ukisamehe nawe wapata dhawabu nyingi duniani na mbinguni pia. Isiwe jino kwa jino kama inavyotokea sasa duniani hasa mambo ya udini ambayo yana leta mitafaruku hasa mashariki ya kati, Sudani, Afrika ya kati na...
  6. S

    Kikao gani kiliamua Nyerere awe 'Baba wa Taifa'?

    Always, Blue ni blue tu. Haiwezikuwa kijani uliyetoa mada.
  7. S

    Waziri Nchimbi alaaniwa na Wazanzibari! Maalim Seif amjia juu...

    Yaliyotokea zanzibar si ugaidi wala uamsho, ni uislam chuki dhidi ya ukristo. ndugu yangu wewe ni mgumu sana wa kufikiri ni ubwege uliopitiliza kuandiiiika aafu unachoongea pumba tuu, acha kupamba pamba uislam. Hujasikia kuhusu kuchinja kwamba mnajichinjia nyie wenyewe sasa ivi? kwamba...
  8. S

    Mwanza: Pinda aagiza waislam kuendelea kuchinja...

    Ndo maana wanachinja watu kwa kuwa ni ibada mmh maamuzi ya Waziri mkubwa yanatia shaka
  9. S

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    Ama kweli dini hii kiboko, akiuwawa huyu basi uwa huyu sio kabisa kwa hapo haina haja ya mahakama na ni kweli maana vyombo vya sheria ndio maana vinakaa kimya nasema ipo siku kitaeleweka tuu. Mtu akikuvumilia kwa uboya wako usidhani kakuogopa.
Back
Top Bottom