Hello,naombeni msaada ndugu zangu..king'amuzi cha startimes channels zimefutika..zmebak channel zao za matangazo pamoja na tv1 tu..nafanyaje kuzirudisha??nmeshafanya search lakini zinarudi hzo hzo,naombeni msaada mwenye uelewa
usimdharau ucyemjua..ok mi ni mlinz NIT bt nataka kusaidia vijana wenzangu waelimike wapate kaz bora wanitoe kwny ulinzi..wewe usiye ht na hyo kaz ya ulinz kinakuwasha nn..mbn baba ako anakusomesha kwa kaz yake ya kuzibua vyoo husemi..unaona walinz tu
majina yatatoka soon..chuo chetu huwa kinachelewaga kutoa majina...ila mda upo coz chuo kinafunguliwa mwez wa 11 tar 14..nadhan next wk mzigo utakua ready
ondoen shaka..mi nipo NIT naingia 2nd yr..ht mwaka jana tulingoja sana..ndo inakuaga hvo kwa chuo chetu na mda upo sana coz tunafungua chuo mwez wa 11 tar 14..karibun NIT
ukipata wa kubeba mbebe..maisha ya chuo ni kusaidiana...huez jua utaembeba atakusaidia nn huko mbelen..ila msitofautiane tabia..na muwe wawazi wa mnavovipenda na mcvovipenda kabla hamjakubaliana kubebana
chuo kipo mabibo...mwendo wa dk 10 km kutoka ubungo(kwa miguu)...dk 10 kwenda manzese so tupo centre ambapo huduma zote zipo...khs mkopo hawazngui..pia inategea na course ulochagua...karib NIT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.