Recent content by Saidi saidi09

  1. Saidi saidi09

    Computer maintanance

    Naomba mawasiliano yako kaka..nkuulze jambo
  2. Saidi saidi09

    Mimi ni kijana Nipo tayari kujitolea popote pale.

    Naomba mawasiliano yako bro..nataka nikuulze k2
  3. Saidi saidi09

    Msaada wa program ya special education

    Wadau msaada kwa anaye fahamu chuo kikuu kinachotoa program/au facult ya special education kwa viziwi,Vipofu.
  4. Saidi saidi09

    Habari za asubuhi

    Samahani waugwana naomba kama kuna mtu anajua chuo chochote cha elimu maalum kizuri anisaidie jina..plz
  5. Saidi saidi09

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    Mambo vipi waungwana.... Samahani jamani naomba kama kuna mtu anajua jina la chuo chochote kzuri cha elimu maalum ..anisaidie jina..plz
  6. Saidi saidi09

    Habari za asubuhi wapendwa

    Samahani naomba msaada kwa kama kuna mtu yeyote anaejua chuo cha elimu maalum kizuri anipe jina
  7. Saidi saidi09

    Niulize swali lolote kuhusu somo la kiswahili shule ya msingi na O-Level

    K..ni vilugha vidogovidogo vinavyopatikana ktk lugha ambavyo hubainishwa na jamii au jiografia na lugha iyo moja huweza kutofautiana ktk matamsh..muundo wa saruf. Na misamiat pia
  8. Saidi saidi09

    Najihisi mjinga kukosa chuo

    Sio kwel...mung hakupanga pia ndg
  9. Saidi saidi09

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo...tabora-kaliua nije ulipo,,
Back
Top Bottom