Recent content by Said Bandar

  1. S

    Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

    Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu. Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians Kama anarekebisha...
  2. S

    Msaada: Nampenda kuwa mcha Mungu lakini makalio ya wanawake yananiangusha

    Wakati utapigwa na upepo kamili wa umaskini na magonjwa hakutakuwa na haja ya advise utaacha tu ....in the meantime chakatua mbususu ,kumbuka Kuna super gonorrhea inasambaa hapa mjini omba isikupate
  3. S

    Uchawi Upo

    Uchawi upo ,nliamini yaliponikuta , Ku..make aisee niliteswa mwaka na nusu na mshua pia wakampa kibano ...tulikuwa tunashinda hospitali kila muda ,mie tumbo yy mguu kutoa usaha ... Nimetumia karibia millioni 450 kwetu sote wawili kwa matibabu ...Kuna mwamba humu jf alinipeleka sehemu ...
  4. S

    Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

    Mwamba kunywa beer kwa bill yangu ,ww twafanana kabisa
  5. S

    Pisi zinashindwa kutofautisha Kati ya mzazi na boyfriend!

    Ahhh wapi ,nakumbuka enzi zile nadate mke nliyenaye Kuna vitu sikuona akiitisha ,eti Sina nauli au chakula ,gesi, alikuwa anaitisha vitu vya maana Kama rent ,nimuongeze mtaji au hata shopping ya mwezi , Ila ke anaitisha nauli huyo amechoka balaa ,kisirani tu hata ukimuoa ni shida...
  6. S

    Pisi zinashindwa kutofautisha Kati ya mzazi na boyfriend!

    Mzee Mali nliyonayo kwa Sasa,ww unaitaji michango ya vijiji 100 kwa kweli ndo uufikie ....sijaongea kwa kuwa Sina Hela ,Ila hii tabia inakera Sana mana naiyona mpaka ofisini ,wanaume wengi shida ndogo wananikopa ilhali hela nawalipa nzuri tu ,kisa kuendekeza upuzi huu
  7. S

    Wanawake wengi wa nyakati hizi kutokuwa na haiba ya kike, tatizo lipo wapi

    Unatarajia nni mkuu ilhali utakuta janaume lizima linasuka kazi Yao siku hizi wanataka kupendeza tu ,majukumu hawataki ....wake nao malezi hawana ,jamii inaelekea kupotea kabisa
  8. S

    Pisi zinashindwa kutofautisha Kati ya mzazi na boyfriend!

    Ke siku hizi choka mbaya ,wapo ke wana bidii zao ,toto mpaka unampa hela bila yy kuuliza ,alafu Kuna hawa vilaza ke wengine ,chupi ,kiberiti ,sijui gas ,mara nywele ,mara viatu ndani ya mwezi unakuta jamaa wengi hata akiba hawana ,wanaume tujifunze kuwekeza pesa kwa biashara sio kukimbiza tundu...
  9. S

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    [emoji23][emoji23][emoji23]banae bidii yakupigana michambo na matusi mliyonayo yanivunja mbavu ....nchi zenyewe zote mbili choka mbaya , umaskini na ajira hamna ,full wizi alafu eti mwaargue nani Bora ,wabongo na wakenya bana tuna kazi na siyo ndogo
  10. S

    Hivi unapotaka kuolewa unatakiwa kutii hisia za mapenzi ama hisia za maisha mazuri?

    Sane advice ni hii ,nenda na aliye jismamia kiuchumi ,mbele ukiamua kwa dhati utapata hisia naye , ogopa Sana mume ambaye ndiye bread winner kwao ,Yaani tegemeo ,utarogwa mpaka kwa ndoto , mwache apange maisha kwanza mbele akisimama atapata mke mwingine . Ole wako huyo tajiri ajue unamcheat ,hyo...
  11. S

    Hivi nchi jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania ni ipi?

    Hapa bila tashwishi ni Kenya ,wale Jamaa tunaweza kuwa na ushindani nao Ila tunaelewana , wanaconsume so much exports toka kwetu ,muziki ,movie ,kilimo ,hata kampuni zetu wanapiga mwingi Kenya ....nmekaa nao nikawaelewa Ila sijawai pata tatizo Kenya ,nlipatwa na issue Nairobi back in 2021 ,Kuna...
  12. S

    Ushauri: Nifanyeje juu ya hali hii ya maisha yangu?

    If you'd had studied law ,ningekupa nafasi at my law firm ,Ila pole Sana kwa mapito yako ,in life seek chances usingoje zikufuate , case inpoint Kuna boda anayenifanyia delivery hapa dar alikuja mpaka ofisini kuomba apewe kazi za delivery ,wiki ya kwanza alifukuzwa na secretary na mlinzi ,Ila...
  13. S

    Nafungua mgahawa

    Daah noma Sana ,bado bingwa hajafungua ,ushaanza kuulizia mkopo
  14. S

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Hela ndogo Sana hiyo naweza kupa mkopo kwa interest ya chini Sana ,Ila ntaitaji mitigation of any risk ya faliure to repay ... Proof of full asset (not partial)ownership (godown). Condition yangu kubwa ni moja tu , duration Kama tumeelewana mwaka au mwaka na nusu kwa malipo jua fika siongezi...
  15. S

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Hakuna kosa lolote hapo mkuu ,kila kitu ni biashara ,if he can extract as much benefit pongezi kwake ,jamaa anataka mkopo ,nothing is for free
Back
Top Bottom