Recent content by sahlu

  1. sahlu

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    Nilipata bahati ya kuishi Iringa katika miaka mingi tofauti na hizi hapa chini ni sehemu nilizo wahi kuishi na aina ya maisha niliyoyafurahia 2003 - niliishi Iringa Don Bosco nikiwa Mwalimu wa kujitolea shule ya Mawelewele Secondary. Yalikuwa ni maisha mazuri mno katika nyumba ya kupanga ya bibi...
  2. sahlu

    JamiiForums Tanzania Hatimae Mama Mzazi wa Marehemu Steven Kanumba Amepatanishwa na Mama Mzazi wa Lulu

    Heri Yao wapatanishi.....maana hao watamuona MunGu
  3. sahlu

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Josephine alikuwa mtaalam pekee wa IT wa UNHCR kanda ya Africa, ni international figure!

    Nashukuru kwa taarifa fupi, mimi sio mwanachama wa chama chochote cha Siasa Tanzania ingawa bado nina mapenzi kwa mbali na CCM. Naomba nikuweke wazi kuwa hakuna /wala haikuwahi kuwepo nafasi ya mtaalamu wa IT UNHCR kanda ya Africa kama ulivyomnukuu Mh.Dk Slaa. Kabla ya kuandika fanya utafiti...
  4. sahlu

    JamiiForums Tanzania Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama

    Peeeoooopleeeeeees Powerrrrrrrrrrrrr................ leo naendelea kuamini ya kuwa Wa - mbili havai moja
  5. sahlu

    JamiiForums Tanzania Wana CHADEMA upepo umeanza kubadilika ( mshikamano ndiyo nguzo kuu )

    ..tunaichagua CCM sio kwa sababu ya sera zake nzuri bali kwa uwezo wao wa kujipanga, kuvumiliana na kuonesha ukomavu katika mambo yanayohusu maslahi ya chama chao.... CDM wont be my choice kama hali hii iliyoanza itaendelea...
  6. sahlu

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, huu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu...

    :A S soccer:ndio kwanza umeanza, I hope maneno ya Wasira juu ya utabiri wa kifo cha CDM hayatatimia soon.....
  7. sahlu

    JamiiForums Tanzania Ben Saanane anavyoteseka na kivuli cha unafiki...

    ..huko tuendako tutasikia na kuona mengi sana...
Back
Top Bottom