Hapa ukizungumzia dini kama imani ya kuabudu utakosea, hapa inabidi tuzungumze kwa ujumla kama dini ni the way of life, na ndio maana nikasema kuwa kuna dini zilizotoka kwa muumba na kuna dini tulizo jichukulia maamuzi sasa dini za waafrika nyingi sana zilikuwa ni utashi wao tu! zilikuwa...
Mwanzoni kabisa nafungua akaunti hapa jf niliwahi kuona signature ya member fulani hivi lakini mpaka leo sikumkariri sasa kama kuna member humu anamfahamu anitajie jina lakge
''ukiokota bunduki usiitupe itumie'' sina uhakika kama aliandika hivi ila yanafanana na haya.
Jamani watu tunatofautiana ujue, kuna wengine hulia kwa sababu za mapenzi na wapo wanaolia kwa sababu ya upotevu wa mali mfano; kuungua nyumba moto, gari na mali nyengine tuzipendazo, na inafika kipindi mtu analia na kubweka kama mbwa kwa sababu paso yake imewaka moto.
Je ushawahi kumuona mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.