Nimepata matatizo wakati natumia huduma yenu ya MPESA kutuma Pesa kwenye Account yangu Bank ya NMB kwakuwa natumia Account ya NMB -Mobile siku ya Alhamisi ya Wiki iliyopita (tarehe 14/04/2016) .Pesa haikutumwa kwenye Account yangu NMB mpaka sasa .Nimejaribu kureport tatizo hilo kwa Vodashop...
Pole sana,mimi pia nilikuwa natuma pesa Bank kutoka MPESA sasa wiki moja sasa mpaka leo Pesa hazijafika kwenye Account yangu nimejaribu kufuatilia Vodashop Mtaa wa Samora mpaka leo nazungushwa kwakweli ni aibu kubwa kwa Kampuni ya Vodacom.Kwa sasa sitatumia tena huduma yao ya MPESA hadi...
saggy
Sasa kumekucha huko Dodoma,nina imani watafanya uamuzi wa busara na kumpitisha mgombea ambaye atakidhi matarajio ya Watanzania,Watanzania wamechoka na Rushwa,Umaskini,Udini na Ukabila.Watanzania wanahitaji mabadiliko na mtu anayeweza kuleta mabadiliko.
HATARI NNE KWA CHAMA,SERIKALI NA NCHI (4) IKIWA JINA LAKE LITAKATWA KWA MIZENGWE
Baada ya kuungwa mkono na Mamilioni ya Watanzania hatimaye sasa EL ametangaza nia na amechukua Form ya kuomba chama chake kimpe ridhaa ya kukiwakilisha kama mgombea wake ambaye atapeperusha bendera yake kwenye...
Huyu mtu mimi nasema wampishe tu maana wakimtoa kwa sababu hii wamejimaliza,tena wamshukuru sana huyu na Dr maana swala hili lilikuwa la aibu kubwa sana na mimi moja ya kitu nasema kimempatia heshima kubwa sana EL ni kukubali ku resign kwa ile issue yaani ni mfano mzuri wa kuigwa,while alikuwa...
Hili jambo ni zito sana,lilitia aibu sana Serikali na Chama na Waziri Mkuu ndiye mtendaji Mkuu wa shughuli za Serikali kwa mujibu wa Katiba na chombo cha maamuzi ya serikali ni Cabinet na mwenyekiti wa Cabinet ni Rais hapa wenye akili mumenielewa naongea nini.Kwa ufupi ni kwamba kama chama...
Tangua kuanzishwa kwa Chama hiki mwaka 1977 kufuatia muungano wa vyama vya TANU na ASP chama hiki kimekuwa kikijindai kwamba kwamba ni Chama cha Wakulima na Wafanyakazi,huku Jembe ikimaanisha ni Mkulima na Nyundo ni Mfanyakazi.Falsafa hii ilimaanisha kwamba chama hiki kitakuwa kikiamini kwamba...
Nilidhani kuna mtu atakuja hapa kutusaidia kwamba sababu ni zipi je aorodheshe hapa sababu tano nje ya hizo alizosema Prof. ili tuzipime natujadili,tusigeuze Forum hii sehemu ya kujadili watu badala ya "Issues" wengine sisi n wanafunzi tunategemea kuja kujifunza kwenye Forum hii of Great...
Kwa kufikiria nahic kuna mambo mawili hapa;
1.Vita ya Kibiashara
2.Tatizo la Tafsiri Kisheria ( VAT Act& Regulation I mean)
3.Role of Energy Regulator iko wapi?
4.Transparency/Uwazi
Kuna uwezekano wapo washindani wa Kibiashara wa hawa jamaa ambao wanatamani kuingia kwenye Soko kwa njia...
Kwa kawaida hata nchi za wenzetu,Rais anatakiwa kutoka nje ya watu waliopo kwenye System ya utawala uliopo kwanini,hatuwezi kuamini kwamba mtu aliyepo kwenye Utawala uliopo anaweza kuleta changes...Mwl.Nyerere aliwahi kusema;nanukuu; "Watanzania wanahitaji mabadiliko,Wasipo yapata ndani ya CCM...
Mimi nampigia chapuo kutokana na Rekodi yake nzuri ya utendaji kazi akiwa Serikalini na Nje ya Serikali.Nin imani huyu anaweza kuendeleza yale yote yaliachwa na watangulizi wake waliotangulia huko nyuma.Kila nikimsikiliza ninaona ni moja ya watu wachache wanaojua Tanzania inataka kwenda wapi na...
Mimi sioni mtu anayekuja na Hoja nzito ya kupinga maelezo hayo,je si kweli kwamba Uamuzi ule haukuwa wa Cabinet?na kama ulikuwa wa Cabinet mwenyekiti wa Cabinet ni nani?Waliokuwepo kwenye hicho kikao ni akina nani? EL aliamua kulinda Heshima ya Chama na Serikali ndo maana akajiuzulu but kusema...
Hiyo ni moja ya Nukuu maarufu za Baba wa Taifa ,Hayati Mwl.Julius K.Nyerere miaka ya 1995 wakati harakati za kuzima vuguvugu la " Tanganyika na G55" alipoutaka Uongozi wa chama wa wakati huo kutangaza Rasmi kwam Umma wa Watanzania kwamba Tanganyika Sio Sera ya Chama Cha Mapinguzi . Msingi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.