Recent content by Sagacious wende

  1. Sagacious wende

    Jinsi elimu yetu inatuandaa kuishi maisha ambayo kiukweli hayapo

    nimekuelewa sana ila sio kusema ukosefu wa miundombinu ndo unachangia kwa kiwango kikubwa ila ni ukosema wa uhalisia wa elimu yetu na mazingira unaingia form1 had 6 unafundishwa vita vya adof cjui mungunduz wa mto sas hapo nikitoka nitaenda kufany kaz gan yakutafta vita vilipotokea au mto ulio...
  2. Sagacious wende

    Ushauri: Nitumie njia ipi kumshawishi mama aniambie baba yangu mzazi?

    umeongea point unaweza kuta mamaake alipata mimba afu baba akamwambia atoe akamp kabsa na hela ya kutolea hivi kwa akili yake anategemea mm nikizaa nitamwambia babake ni flan akati alishatoa hela ya kutolea mimba inamaan nikilea mtto ni wakwangu aache ujinga miez 9 limekaa tumbon mamako...
  3. Sagacious wende

    Madness of black people

    asee kweli mamb ya manabii yanapotez weng africa manabii wanatajilik wafuac maskin wa kutupwa afu bado unaambiwa toa Mungu akupe utajir
  4. Sagacious wende

    Nadhani ni bora kutokuoa kabisa kuliko kuwa na mke dizaini hii

    yan huyo mwanamke anaakili san wanaum wengi wanajali familia zao tu hawataki kusaidia upande wa kike utasikia nimeoa ukoo wako sas kam hujaoa ukoo wangu unatak mm nikipata hela nicjengee ukoo wetu hadi nikupe ww ujengee kwenu tena wanawake tujenge hadi magorofa hawa wanaume watatuuwa
  5. Sagacious wende

    Suala la Wanaume kulelewa: Wanawake daini haki sawa na Wanaume

    unajua kunautofaut na hakun usawa kat ya mwanamme na mwanamke huo ndo ukweli coz mwanamke ukifik wakati utabeba mimb huwezi ukafany kaz kwa ufasaha au ukij kuzaa ukawa na kichang kwahy kam mwanaum yey ni mtu wa tv tu anasubir mm nifany kila kitu unahic tutaendlea hapo
  6. Sagacious wende

    Suala la Wanaume kulelewa: Wanawake daini haki sawa na Wanaume

    simanishi heshima hiyo yan unakuta hatafut hela limekaa tu lkn anatak akute chakul ten kizuri afu hela hajui untoa wap inaboa
  7. Sagacious wende

    Suala la Wanaume kulelewa: Wanawake daini haki sawa na Wanaume

    kweli mijanaume saiz inaboa afu inatak uieshimu
  8. Sagacious wende

    Mwanadada upo tayari kuwa na mwanaume mwenye uchumi na elimu duni?

    inahitaji moyo pia kwasabbu wanaume wengi mnahangaik pamoj mkfanikiwa anaanza jeuri
  9. Sagacious wende

    Nimekuta meseji za mapenzi za dereva bodaboda kwenye simu ya mke wangu

    ila tuende mbele na kurdi nyuma nyiny wanaume wasaliti wakubwa yan mbon wanawek weng wanavumilia mnaoa wake wengi lkn mkeo yupo tu ww umemfuma mara moja tu unatak umuacha unawez pat kicheche zaid cjui utaoa wangp
Back
Top Bottom