Recent content by SAFE

  1. S

    Mchumba amelazwa baada ya kutambulishwa anifanya nisioe tena

    jamani kama Wiki mbili zimepita niliwashirikisha kua mchumba nilie mtambulisha aliumwa ghafla, sasa nimegundua tatizo japo hakua mwazi Sana anasema tatizo kipindi yuko A level alia kugombana na mdogo wangu kisa mwanaume walikua wanashare na alimaliza hawapatani,sasa anahisi atamharibia kwa...
  2. S

    Najutaaa kuonekana wa kishua

    kila mtu ana haki ya kueleaza hisia zake sasa ushua wako unatuhusu?
  3. S

    mwanafunzi aliyemaliza udsm

    teh teh ana roho ya kwaniniii? hakusoma udsm. pole yake ana inferiority
  4. S

    Kikwete: Sijashindwa kuiongoza Tanzania!

    pole sana
  5. S

    Nimemtambulisha mchumba wangu kalazwa

    jamani nimemtambulisha mchumba wangu nyumbani Mambo yalikwenda vinzuri lakin wakati msindikiza alikua analia nikajua furaha wala sikufatilia baada ya mda nikapigiwa sim amelazwa nikaenda kumuona anaendelea kulia namuliza hasemi nn tatizo,hospital wamemwambia Anahoma.
  6. S

    uchumba kutambulishwa na kuumwa ghafla

    Mambo,,jamani mm ni kijana wa miaka 28 nina mpenzi ambae leo nimemtambulisha nyumban baada ya kuondoka tu nokia na msindikiza alike italia nikajua furaha baada ya saa moja nikapigiwa simu kalazwa sasa cjui nn Tatizo.
Back
Top Bottom