Najutaaa kuonekana wa kishua

Najutaaa kuonekana wa kishua

Jirani tu wewe ushaweka mambo kibao mkuu mpende jirani yako kama nafsi yako!
 
Acheni kuchagua Topic we msaidie if you like if you don't like kaa kimya.
 
Sasa inahusu nini?wewe muhaya?yani miafrika bwana sasa yeye kuonyesha anakupenda wewe unakuja kumsanua huku je nayeye kama yumo humu?undhani atakuwa anajisikiaje?acha ushamba au nia yako nikutuambia umepanga aptmnt?nimekuona wa hovyo hovyo!wewe unaweza ukaadithia utupu wa girlfriend wako!

Sijaona mantiki ya kumjibu mwenzako hivyo mkuu,au kuna kitu kimekuchanganya kazini? KakaKiiza
 
Last edited by a moderator:
Siku ingine mwambie hizo sehemu za mikate na mazagzaga amuelekeze mama watoto maana wewe si mtu wa sokoni kivile sana
 
sasa ushua wako hapo ni katika nini labda?
 
Vijambo vingine havihitaji hata kuja jf kama mtu una akili timamu.
 
nahisi hujapat uashuri bado that mins ur story is not intersting iko kipersonal zaidi...
 
kila mtu ana haki ya kueleaza hisia zake sasa ushua wako unatuhusu?
 
....we sema hana viwango unavyotaka in terms of body morphology.. (color, coursework, tabasamu, nywele, saa saba kasoro robo, mguu wa bia)..ukisingizia umri unatudanganya..ajira anayo, mkwanja upo...nenda mkapime umpe huduma stahiki..."ufunguo ni kwa ajili ya kitasa na si vinginevyo" :laser:

Duuuhhhh!!! Lovebird umenikumbusha "coursework"!!! Mzee wonders!
 
Duh!kweli kuelekea 2015 tutashuhudia vituko vya kila aina.sasa hapo ushua wako uko wapi mkuu?
 
Mara hooo ww wakishua mara hoo anataka kukutoatoa outing na jim..acha bra bra nyingi ww..

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
Jamani mwenzenu hapa napokaa nina kama abt a year sasa...life yangu nikitoka job ni mimi na my family au mitoko tu ya nje..neighbour ni habari mzuri baasi....sasa kuna dada anafanya kampuni fulani..mkubwa kidogo kwangu..tho hana mtoto(nadhani mambo yalikataa maskini) kuna siku alinikuta namsindikiza rafiki yangu akatujoin abit nadhani aliienjy my company..frm there naona kama anawish tuwe marafiki kiaina mara tuanze Gym mara anielekeze mikate mitamu inauzwa wapi twende tukitoka kazini...mi nahisi kama not my type..yeye hana majukumu,na anaonekana spender....Namkwepajeeeeeeeeee asijisikie vibaya

uo ni ushamba...huna tofaut na dayamondi
 
Back
Top Bottom