Recent content by safar

  1. S

    Kamati Kuu CHADEMA kwazuka ugomvi, Mjumbe wa Kigoma apigwa

    Lema naye amezidi,hata kama mimi ni mchaga nachama ni chababu yetu mzee mtei tunaenda pabaya sisi cdm
  2. S

    Nape: Lowassa kapoteza sifa ya kugombea

    Nape punguza mdomo usijifanye mungu mtu,mimi naunga mkono lowasa kuwa mgombea kwasababu uweza anawo sababu anayo mwisho anamaamuzi magumu nchi itanyooka
  3. S

    Mavazi ya kanisani balaaa...

    Baadhi ya wanawake wanakuja kanisani nanguo fupi ili kuwatega mapasta
  4. S

    Kada mashuhuri wa CCM ajiunga CHADEMA

    Poa karibu usije kuwa umetumwa
  5. S

    CCM wafanya siasa za ukabila Sombetini Arusha ni ktk kinyang'anyiro cha Udiwani

    Tumechoka kuwapa wahuni kata,sombetini siyo shamba labibi tutampa kura mtu bila kujali chama dini kabila wala ukanda,
  6. S

    Picha: Mrembo wa Kitanzania aliyekamatwa na heroin China

    Mungu amweke mahala pema peponi Amin,kwani nilazima anyongwe tu,hivi jamani hakuna mahala pengine penye soko ila china?
  7. S

    PICHA: Zitto Kabwe afunika Mkutano wa Hadhara huko Kigoma Mjini

    Zito nijembe nasilazima mtu awe wa kaskazini ndo awe jembe
Back
Top Bottom