Recent content by Sadoth Rugalema

  1. Sadoth Rugalema

    Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

    Elimu ya mtu haiondoi upumbafu wake.
  2. Sadoth Rugalema

    Askofu Nkwande: Bungeni sio mahali pa kufanya mambo ya mzaha au kuongelea utoaji mimba na mapenzi ya jinsia moja

    Huyu asikofu aliishawahi kumpa mwanamke mimba, je anajua lolote kuhusu kuzaa na kulea ,je anafikiri usipoyajadili hayo hizo sheria za kuyasimamia utazitunga vipi ? Huyu asikofu aendelee na mambo yake ya dini haya mambo ya bunge atuachie sisi na wabunge wetu.
  3. Sadoth Rugalema

    Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

    Mkuu mawifi wana rahana , mkeo anasimangwa na mawifi na yeye akienda kwao anawasimanga mawifi zake (yaani wake wa kaka zake) hawa mawifi wana rahana ya asili .
  4. Sadoth Rugalema

    Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

    Hawakwenda kuzini mkuu, bali walikwenda kutest kitambo bahati mbaya mtambo wa Kulaya haufanyi kazi vizuri .
  5. Sadoth Rugalema

    Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

    Mpaka tunaongea muda huu bwana Kulaya hana mtoto hata mmoja watoto alionao niwa kusingiziwa .
  6. Sadoth Rugalema

    Mahakama ya Mwanzo ya Buguruni imevunja ndoa ya waliotengana kwa makubaliano ya kila mmoja aende kutafuta watoto

    Mpaka tunaongea muda huu bwana Kulaya hana mtoto hata mmoja ,watoto alionao niwakusingiziwa.
  7. Sadoth Rugalema

    LATRA: Mfumo wa ukataji tiketi kwa njia za kielektroniki haulengi kuumiza yeyote

    Sasa hawa wapiga debe mtawaweka wapi ,au ndiyo mnazalisha vibaka wapya?
  8. Sadoth Rugalema

    Mfanyabiashara aliyejifanya TAKUKURU afikishwa Kisutu

    Kuna mwingine Arusha alijifanya usalama wa taifa 🤔🤔🤔
  9. Sadoth Rugalema

    TAWA yazindua bucha ya kwanza ya nyama pori

    Kesi kwenye hiyo butcher zipo nyingi , ili uweze kumuchinja nyati lazima umpige risasi kwanza ukae saa moja ili kumsogelea ambapo kwa saa moja anakuwa tiyari amekata moto hivyo unachinja kibudu ,hiyo ni kesi namba moja kulisha watu kibudu
Back
Top Bottom